Wakuu habari,
Kichwa cha habari kinajieleza. Natafuta mkopo wa haraka wa Tsh milioni 20. Nahitaji kuupata ndani ya siku 3. Nitaulipa kwa ndani ya mwezi kwa riba ya asilimia 15. Nipo Dodoma na ninadhamana ya sheli ya mafuta.
Kwa mtu anayeweza kunikopesha tuwasiliane kwa 0654000253
Kichwa cha habari kinajieleza. Natafuta mkopo wa haraka wa Tsh milioni 20. Nahitaji kuupata ndani ya siku 3. Nitaulipa kwa ndani ya mwezi kwa riba ya asilimia 15. Nipo Dodoma na ninadhamana ya sheli ya mafuta.
Kwa mtu anayeweza kunikopesha tuwasiliane kwa 0654000253