Salam kwenu wakuu.
Mimi ni mfugaji/mkulima ambaye nimepitia changamoto nikakwama kimtaji. Naomba kama kuna mdau humu ambae anaweza kunisaidia jinsi ya kupata mkopo au udhamini ili nibust ufugaji wangu na kilimo pia. Nina heka 50 za shamba ambalo nahitaji kupanda maharage msimu ujao na kuku wangu wa layers walikumbwa na balaa ambalo sikuweza kuokoa chochote. Ujuzi na uzoefu ninao ninakosa tu mtaji wana jamvi wenzangu.
Naishi Arusha kama kuna yoyote ambae anaweza kunisaidia kwa hali na mali nita shukuru na kumuombea mema mengi yamuelekee.
Asante
Mimi ni mfugaji/mkulima ambaye nimepitia changamoto nikakwama kimtaji. Naomba kama kuna mdau humu ambae anaweza kunisaidia jinsi ya kupata mkopo au udhamini ili nibust ufugaji wangu na kilimo pia. Nina heka 50 za shamba ambalo nahitaji kupanda maharage msimu ujao na kuku wangu wa layers walikumbwa na balaa ambalo sikuweza kuokoa chochote. Ujuzi na uzoefu ninao ninakosa tu mtaji wana jamvi wenzangu.
Naishi Arusha kama kuna yoyote ambae anaweza kunisaidia kwa hali na mali nita shukuru na kumuombea mema mengi yamuelekee.
Asante