Donkey JF-Expert Member Joined Dec 17, 2010 Posts 1,499 Reaction score 1,584 Jul 31, 2015 #1 Wana jamvi, Nataka kuanzisha mradi wa kilimo na ufugaji nipo Mkoa wa Shinyanga, wapi naweza kupata mkopo? Tafadhali nisaidieni
Wana jamvi, Nataka kuanzisha mradi wa kilimo na ufugaji nipo Mkoa wa Shinyanga, wapi naweza kupata mkopo? Tafadhali nisaidieni
G Gagnija Platinum Member Joined Apr 28, 2006 Posts 12,620 Reaction score 12,109 Jul 31, 2015 #2 Donkey said: Wana jamvi nataka kuanzisha mradi wa kilimo na ufugaji nipo Mkoa wa Shinyanga, wapi naweza kupata mkopo? tafadhali nisaidieni Click to expand... Kachukue kwa lowasa, utapewa msaada (grant) wala si mkopo.
Donkey said: Wana jamvi nataka kuanzisha mradi wa kilimo na ufugaji nipo Mkoa wa Shinyanga, wapi naweza kupata mkopo? tafadhali nisaidieni Click to expand... Kachukue kwa lowasa, utapewa msaada (grant) wala si mkopo.
Fall Army Worm JF-Expert Member Joined Jan 8, 2015 Posts 19,355 Reaction score 14,408 Jul 31, 2015 #3 Gagnija said: Kachukue kwa lowasa, utapewa msaada (grant) wala si mkopo. Click to expand... Kivipi mkuu??,wengi tunahitaji.
Gagnija said: Kachukue kwa lowasa, utapewa msaada (grant) wala si mkopo. Click to expand... Kivipi mkuu??,wengi tunahitaji.
C christmas JF-Expert Member Joined Jul 21, 2011 Posts 2,701 Reaction score 1,280 Jul 31, 2015 #4 Gagnija said: Kachukue kwa lowasa, utapewa msaada (grant) wala si mkopo. Click to expand... aisee..