Natafuta mkopo wa kuanzia 1-1.5M dhamana ni vyeti vyangu orginal

 
Pole Sana Mkuu pia hongera kwa7bu una pakuanzia hvy vyet ni mtaj teyar MUNGU akupe hitaj la moyo wako
 
Oyaaa nichek pm kun mdau anatoa mikopo kwa dhaman y hvyo vtu sema sharti uwe mwanachuo wa udom ila tunaweza kumuelewesha akakuelew riba yake n 30%
Habar ndg. Je nawezaje kupata namm huo msaada wa mkopo kw dhamana ya vyeti? Niko pwani ya kibaha
 
Aisee hizi degree ambazo zinageuka mizigo kwa watu na familia zao ni balaa..
Acha tu ndg. Elimu imegeuka mwiba kwa wasomi wengi ... Ni maumivu pia kwa wazaz na walez waliosomesha ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…