gasper2015
New Member
- Jan 11, 2022
- 3
- 4
Habari wadau,
Mimi sina sifa ya kukopesheka Bank,
Hivyo nina shida ya mkopo wa M3 kwa mtu binafsi
dhamana niliokua nayo ni kiwanja kipo songea changalawe kipo barabarani kabisa
kiwanja kina kibanda cha chumba na sebule na mbele kuna nyumba ya block najenga ipo nusu
mkataba wa mauziano ya kiwanja ninao na kibali cha ujenzi kipo
alie siliazi anicheki, mwezi wa saba narudisha, uwe na riba isiyo umiza
0622575615
0658389266
Mimi sina sifa ya kukopesheka Bank,
Hivyo nina shida ya mkopo wa M3 kwa mtu binafsi
dhamana niliokua nayo ni kiwanja kipo songea changalawe kipo barabarani kabisa
kiwanja kina kibanda cha chumba na sebule na mbele kuna nyumba ya block najenga ipo nusu
mkataba wa mauziano ya kiwanja ninao na kibali cha ujenzi kipo
alie siliazi anicheki, mwezi wa saba narudisha, uwe na riba isiyo umiza
0622575615
0658389266