Natafuta mkopo wa tshs 1,200,000. Bank gani ninaweza kukopa

Natafuta mkopo wa tshs 1,200,000. Bank gani ninaweza kukopa

raia tz

Member
Joined
Nov 21, 2011
Posts
89
Reaction score
16
Wakuu habari zenu, mimi ni mwanafunzi wa chuo. Kwa sasa nipo hapa Dar-es-salaam. Nina Biashara ya bodaboda na nimeifanya kwa muda wa miezi mitatu sasa. Nahitaji kuongeza ya pili, binafsi nina shilingi 500,000 na nikipata mkopo huo nina weza kukamilisha mpango wangu.dondoo ni kama zifuatazo (1) Nina mapngo wa kulipa mkopo huo ndani za miezi sita pamoja na riba yake, ninaweza kulipa (2)Colateral nilionayo ni kadi ya hiyo bodaboda tu, sina asset nyingine (3)naomba kujuzwa riba ni kiasi gani kwa mwezi na riba kwa ujumla kama nitalipa kwa miezi sita (4) Naomba kwa anejua a right person kwenye banks anayeweza kunisaidia kwa sababau nimejaribu kwenda mwenyewe sijapata msaada stahiki (5)nipo flexible hata kama kuna watu au taasisi binafsi zinazoweza kunikopesha naweza fanya nao kazi MWISHO : nakaribisha mawazo yenu , napenda kukuza biashara yangu kwa sababu nimeianzusha kutokana na kujibana BOOM la bodi so I want to see my business move.
 
you very enterprising ... excellent ...

nakushauri ukakate kasajili jina la biashara BRELA haizidi 20,000 .... mathalani jina laweza kuwa "raia tz transportation" pata TIN na business licence ni bure, halafu nenda bank kama access au akiba fungua account

mwisho wa siku utajikuta una scania semi-trailers za mizigo

i wish you all the best
 
Good very good kijana, kwa uzoefu wangu kukopeshwa na bank si rahisi kwa kutumia boda boda moja kama dhamana, mara nyingi wanataka at least ziwe mbili wanaweza kukupatia mkopo wa kupata moja. Pia ziwe na bima kubwa.
Ushauri wangu kwako jiunge na saccoss kwani wao masharti ni rahisi pia utajifunza kuweka pesa. Ungekuwa umeiweka hiyo 500,000 saccoss ungekopeshwa mara tatu yake yaani 1,500,000.
Hujachelewa anza sasa, ukisimama vzr ingia Bank.
Once again big up!!
 
Jibu kwako ni saccoss tu kwa sasa, banki wtakuzingua dhamana.
All the best.
 
you very enterprising ... excellent ...

nakushauri ukakate kasajili jina la biashara BRELA haizidi 20,000 .... mathalani jina laweza kuwa "raia tz transportation" pata TIN na business licence ni bure, halafu nenda bank kama access au akiba fungua account

mwisho wa siku utajikuta una scania semi-trailers za mizigo

i wish you all the best
Nakushukuru mkuu mdizi, Nianzie wapi kusajili kampuni yangu, bahati nzuri Tin number ninayo. Je watahitaji nini pale brela? Ntafungua account access bank I wish to be formal. jina la kampuni nimeshaliplan. Please wish to hear from you
 
Nakushukuru mkuu mdizi, Nianzie wapi kusajili kampuni yangu, bahati nzuri Tin number ninayo. Je watahitaji nini pale brela? Ntafungua account access bank I wish to be formal. jina la kampuni nimeshaliplan. Please wish to hear from you

mkuu ... nakushauri uanze na business name cum partneship au sole propriator .... gharama yake ni ndogo .... baadae unaweza ku-convert into limited company .... ni vyema sana kuwa formal in business .... ingia kwenye webdite ya brela utaona vigezo halafu nenda pale ofisi zao ... be tolerant ... be patience

ukishapata formal business you become revognised ... utafanikiwa hakika .... at this stage utapata financial support easily

go go go
 
Good very good kijana, kwa uzoefu wangu kukopeshwa na bank si rahisi kwa kutumia boda boda moja kama dhamana, mara nyingi wanataka at least ziwe mbili wanaweza kukupatia mkopo wa kupata moja. Pia ziwe na bima kubwa.
Ushauri wangu kwako jiunge na saccoss kwani wao masharti ni rahisi pia utajifunza kuweka pesa. Ungekuwa umeiweka hiyo 500,000 saccoss ungekopeshwa mara tatu yake yaani 1,500,000.
Hujachelewa anza sasa, ukisimama vzr ingia Bank.
Once again big up!!
Nakushukuru mkuu kwa comment zako, Nimejiunga na WAT SACCOSS ndani ya wiki Hii, I think inabidi nika fuatilie taratibu zao za huo mkopo. Once again thanks for credit
 
mkuu ... nakushauri uanze na business name cum partneship au sole propriator .... gharama yake ni ndogo .... baadae unaweza ku-convert into limited company .... ni vyema sana kuwa formal in business .... ingia kwenye webdite ya brela utaona vigezo halafu nenda pale ofisi zao ... be tolerant ... be patience

ukishapata formal business you become revognised ... utafanikiwa hakika .... at this stage utapata financial support easily

go go go
Nakushukuru mkuu, Am moving, let me google brela to see terms and conditions, early next week itakuwa my assignment ku visit ofisi zao. thanks
 
Hongera sana. Ukiendelea na speed hiyo utafika mbali
 
Hizo ndio plain ndugu tuwaze kujikomboa wenyewe so interested
 
Back
Top Bottom