Natafuta Mkopo wa Tshs 1,200,000/=

Majaribu2013

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
952
Reaction score
1,049
Natafuta Mkopo wa milion moja na laki mbili.

Riba tutaelewana na muda wa kurudisha ni miezi 3. Maelezo zaidi nitampatia mhusika pamoja na mahali nilipo na dhamana niliyonayo.

Asante.
 
Kaka usipate shida. weka Tshs 120,000 kwenye laini yako ya voda, halafu ziingize kwenye M PAWA, kisha omba mkopo online bila kumpigia mtu magoti wala kupanga foleni ndefu kama Diunal wa Iringa wala kumpa mtu shikamoo. Ndani ya dkk mbili utapata mkopo wako. Anza mchakato halafu niambie.
 

naomba kueleweshwa jinsi ya kulipa na masharti ya ulipaji wa mpawa
 
naomba kueleweshwa jinsi ya kulipa na masharti ya ulipaji wa mpawa

Sina uhakika sana ila naona kama kiwango cha juu cha mkopo ni Tzs.500,000 na unatakiwa kulipa kwa mwezi mmoja; pia hawajasema kiwango cha riba!!
 
nitumie hiyo riba nijazilizie ndo nkupe huo mkopo
 
Sina uhakika sana ila naona kama kiwango cha juu cha mkopo ni Tzs.500,000 na unatakiwa kulipa kwa mwezi mmoja; pia hawajasema kiwango cha riba!!

riba ni kama 9%,lakini mpawa huwezi qualify kupewa mkopo wao haraka.lazima uwe na account huko kwa mda fulani ndo unaruhusiwa kukopa.
pia kiwango cha kukopa kinapanda kutokana na namna unavyoweka na pia kulipa mkopo,japo kiwango cha juu cha mkopo ni 500,000
 

Zaidi wakuu wapitie hapa M-PAWA. Ni huduma ya uhakika. Nilishawishika kujiunga na Vodacom kwa sababu hii tu. Halafu ukifanya saving kuanzia hata shilingi 1, inakokotolewa na kupewa faida wakati wa mavuno (calendar) yao.

Hawa jamaa wanilipe nimewafanyia Promo ya bure..teh teh ! Just a helping hand!

Cc: Vodacom Tanzania
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…