unanunuaje matikiti maji, unanunua bei ya kwa kila moja moja na kama matikitikiti mtu akijaza canter nzima unanuaje........nauliza hivyo maana mfano wale madalali wa tandika na buguruni sokoni wakijaga nunua matikiti shambani wananunua kwa kukadiriaaa kwa hiyo unakuta mkulima hapati faida...