Natafuta mmanza toka tanga.

Natafuta mmanza toka tanga.

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Awe anajua majukumu yake yote muhmu kwa mumewe,sio tuanze kufundishana tena.
 
Mmanza ni mtu wa namna gani....?
 
wajitafutia kutengwa na nduguzo weye. Katoto kaduchu wataka mimama ya nini?
Utaunguzwa weye
 
hao wambea hawana reception nzuri,me nataka hawa walio kamili idara zote.

mwanadamu gani asiye kasoro? Nina sheikh atakutengenezea jini as per your requirents. Nikupe namba yake?
 
Back
Top Bottom