Natafuta mme miaka 35 and above

Natafuta mme miaka 35 and above

Sami12

Member
Joined
Jun 10, 2012
Posts
10
Reaction score
2
Elimu yangu ni chuo kikuu na nina mtoto mmoja na nina miaka 31.mme awe na elimu ya chuo kikuu,miaka 35 and above,mkristu na awe mweusi na mrefu kiasi.aniPM
 
Mimi nipo tayari,Jee baba wa huyo mtoto atakua anakuja home kwetu kumuangalia mtoto wake?
 
uliniambia umeshapata nilipo kupm ulipojitangaza last wiki. Umemwagwa tena? Sio bure una kapepo. Ushindwe na kushindikana.
 
Elimu yangu ni chuo kikuu na nina mtoto mmoja na nina miaka 31.mme awe na elimu ya chuo kikuu,miaka 35 and above,mkristu na awe mweusi na mrefu kiasi.aniPM
Why awe na elimu ya chuo kikuu?
 
Elimu yangu ni chuo kikuu na nina mtoto mmoja na nina miaka 31.mme awe na elimu ya chuo kikuu,miaka 35 and above,mkristu na awe mweusi na mrefu kiasi.aniPM
Mie nina vigezo vyote!pia nina kigezo cha ziada.Na pia nina masharti yangu pia.......jee unajua kupepeta mchele vema?
 
Elimu yangu ni chuo kikuu na nina mtoto mmoja na nina miaka 31.mme awe na elimu ya chuo kikuu,miaka 35 and above,mkristu na awe mweusi na mrefu kiasi.aniPM
More terms madame,jee ukiwa taifa unaliaga au unapigaga vigeregere?
 
Elimu yangu ni chuo kikuu na nina mtoto mmoja na nina miaka 31.mme awe na elimu ya chuo kikuu,miaka 35 and above,mkristu na awe mweusi na mrefu kiasi.aniPM
More more,jee zile za kimasai zivaliwazo chini ya kitovu unavaaga?jee unamwanya pia?unatumia aina gani ya manukato?unapendelea makufuri ya rangi gani vile?kiuno chako saizi ngapi?
 
Elimu yangu ni chuo kikuu na nina mtoto mmoja na nina miaka 31.mme awe na elimu ya chuo kikuu,miaka 35 and above,mkristu na awe mweusi na mrefu kiasi.aniPM
More again!
Umevimba mbele au nyuma?
 
Elimu yangu ni chuo kikuu na nina mtoto mmoja na nina miaka 31.mme awe na elimu ya chuo kikuu,miaka 35 and above,mkristu na awe mweusi na mrefu kiasi.aniPM
Unaji over value mno... Una mtoto tayari halafu una masharti ya "mweusi... mrefu... mkristu..." thamani yako sasa hivi ni kama gari lililotumika na kupata ajali, huwezi kuliuza kama jipya...
 
Unaji over value mno... Una mtoto mmoja halafu una masharti ya "mweusi... mrefu... mkristu..." thamani yako sasa hivi ni kama gari lililotumika na kupata ajali, huwezi kuliuza kama jipya...
Mhhh!u mean like a used imported car from over sea huh!!
 
Yaan utamu wote watu walishanyonya halafu bado tu unaweka masharti kibaooo, pia na uzee (35 years???????) wako wote huo unadhani utampata nani?. Halafu hivi bado kuna wanaume wenye akili zao timamu wanaoa mwanamke aliye zalishwa na njeba ingine?, kama wapo basi nao ni mamburu aka makenge tu, ''yaani unaoa mwanamke aliyezaa tayari unatafuta nini eti?, wakati vitoto vibichi kibao vipo mtaan tu vinasaka mikia ya kuvichapa navyo.
 
mawazo yangu yote yapo kwenye mashine..

1, inahali gani
2, imetembea /kupigwa kick kiasi gani
3, je inamwaga oil chafu au safi na oil yenyewe lo!
4, cc ngapi 1.5? au 2?
5, kitivo au jangwa?
6. usafi wake, nyeusi au nyeupe
7, imevimba au mlazo
8, ukirudi revasi inakaa wapi nyuma juu au inabaki chini?
9,wakati wa mvua mpunga vipi, ile pochi inayoficha kinyesi vipi, maana watu wengine chumvini jama
10. mwisho ni ya kutafuta au iko wazi aka chungwa sana au bado chenza?

AU NIREJEE PUNYETO LANGU? Nawaza sana
 
Elimu yangu ni chuo kikuu na nina mtoto mmoja na nina miaka 31.mme awe na elimu ya chuo kikuu,miaka 35 and above,mkristu na awe mweusi na mrefu kiasi.aniPM

Nami pia natafuta. Tafadhali tuwasiliane kama tu unakidhi vigezo:

Natafuta rafiki wa kike ambaye nitampenda na kumjali, kubadilishana mawazo, company na kusaidiana katika mambo ya maisha.

Sifa zake:


  1. Awe na Umri usiopita miaka 40
  2. Awe na umbo zuri na sura ya kuvutia na uzuri wa asili
  3. Awe na tabia njema na asiwe na tamaa
  4. Awe ana ndoto za maendeleo na mitazamo chanya katika maisha na anayejiamini
  5. Awe na Elimu ya kuanzia ngazi ya Diploma - PhD
  6. Awe tayari kupendwa na kupendeka, kudekezwa na kudeka
  7. Awe tayari kwa uhusiano wa muda mrefu kama tutaelewana

Sifa zangu:


  1. Umri wangu miaka kati ya 45-50
  2. Elimu yangu: Shahada ya Uzamili
  3. Kazi: Nimeajiriwa na Kujiajiri
  4. Sina mke
  5. Nina watoto wawili

Ambaye yuko seriously tuwasiliane kwa PM au barua pepe gentleman.waukweli@gmail.com

PM na barua pepe zote zitajibiwa 24X7 kwa walio seriously
 
Back
Top Bottom