MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,184
- 5,435
Alizoea kupigwa na ukuni kila wakati sasa hiyo ndiyo shida kuu kwake.Calm down kwanza lea mtoto wako akue my friend miezi 6 bado mdogo na pia hauna muda tangia umeachana na huyo baba mtoto wako
Humu utapata wanaume watakao kupa Stress hadi ujutie uamuzi wako hawato kuacha salama humu wanacho tanguliza ni kula dodo tuu alale mbele tena una mtoto mdogo hivyo komaa nae kwanza mtoto asije kuwa fundi viatu
Pia umri wako miaka 23 bado sana jipange uta vuka tuu hiyo mitihani na majaribu una pitia kila kitu kina pita hakuna kita baki milele
Tatizo umri wake bado mdogo sana na mtoto bado mdogo hivyo asidhani km ndoa ndiyo SolnAlizoea kupigwa na ukuni kila wakati sasa hiyo ndiyo shida kuu kwake.
Ushauri mzuri ila haumfai kwani ni mwenye njaa kali. Hiyo nayo ni sampuli.
Uko wap kama uko serious njoo pmMie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miaz6 nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na ictoshe ameoa mwanamke mwingine....kwaiyo atakae kua tayar kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari
Kwani Mkuu atlist angekuwa namingap na kwa mwanaume atlist awe namingapi ili aoe au kuolewaaTatizo umri wake bado mdogo sana na mtoto bado mdogo hivyo asidhani km ndoa ndiyo Soln
Hivi watu wa hivi Na majibu kama haya huwa wanawazaga niniHuu ni unafki sema utazalishwa
AsanteIwe nikweli au lah.
Mimi naitaji kua rafiki yako , napenda tu watoto .ivo kubadilishana mawazo nachangamoto inaweza kua sehem nzuri kwako nakwangu.
AminaSali kwa Iman na Uwe na tumaini kuu utampata tu!
Kila rakheli!
Sawa... Mambo vipiMie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miaz6 nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na ictoshe ameoa mwanamke mwingine....kwaiyo atakae kua tayar kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari
Majibu yenu SasaSiungesubiri mtoto aache ziwa kwanza ??miezi 6 sibado unanuka maziwa ?haraka yanini ?..
Issue sio miaka mingapi imagen mtoto mmoja tuu ana mpa stress kiasi hicho na kutamani kuolewa ili apate kuliwa zika lkn muda bado wa kutosha hivyo asiwe na paparaKwani Mkuu atlist angekuwa namingap na kwa mwanaume atlist awe namingapi ili aoe au kuolewaa
Mbona juu umemjibu vizuriHapa ndoninapokuja kuamini kuwa lait mungu asingewaumba wanawake na **** basi wangepata shida sana maana wasingekuwa na kitega uchumii.Iv wewe uzalishwe na MTU mwingine then unipe majukumu Mimi?yani unaingiaa uwanjan timu pinzani taar inagoli mojaa apanaa kwa kweli pambana tuu dadang
Nipo tayarUpo tayari tukacheck Afya zetu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu kama nakuona hivi najua hawezi kuja Mkuu maana hawa pasua kichwa ohooMbona juu umemjibu vizuri
Eti njoo Pm
Sasa tena unamponda
Jamani si uwaachee wanaoweza kulea mtoto asiye wako mtamu sana kulea.Mungu anakuongzea
Sio bwana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu kama nakuona hivi najua hawezi kuja Mkuu maana hawa pasua kichwa ohoo
Mkuuu nmekupm lakin naona kimya nauko online ivi kweli uko serious we Dada???Asante