Alphonce Kagezi
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 338
- 163
OkyKama ni mweupe na unashape njoo pm
Tuwe wakweli, atapata mwanaume mwingine wa kumzalisha na kumchezea. Kuwa na mtoto, hamna mwanaume ambaye atampenda bila ya kuwa mnafiki.utawapata tuu wanaohitaji kuoa kwa sasa kua mpole tuu
hahhahahaTuwe wakweli, atapata mwanaume mwingine wa kumzalisha na kumchezea. Kuwa na mtoto, hamna mwanaume ambaye atampenda bila ya kuwa mnafiki.
Huyo mzazi mwenzio akikuhitaji mida wowote utajipeleka. Sasa hapo nani atakuoa?? No offense.
Mbona mapema hivyo wewe dada,mtoto miezi 6 unataka mume mwingine?huyo nae akija ataweka jingine na huenda akalala mbele km huyo mwingine nani ajuaye!japo siombei hilo likutokee tena!ila wadada msiwe mnatoa penzi km peremende mwisho wa siku mnaishia kuumizwa mioyo tu,km mtu anakupenda afuate taratibu aje kwenu ajitambulishe taratibu zifuate kisha hako kamchezo kaanze,sio kjana akishakuambia anakupenda basi umuonjeshe papuchi mnakosea sana,mvumilie hadi ndoa jamani!?Mie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miezi 6, nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na isitoshe ameoa mwanamke mwingine. Kwa hiyo atakae kuwa tayari kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari.
Tatzo huwa hamuwasahau watu wenu walokuzalishen.. Huyo jamaa ameoa lkn akiamua awe anakula mzigo ww huchomoi.. sasa ktk ndoa inakuwa tafraniMie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miezi 6, nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na isitoshe ameoa mwanamke mwingine. Kwa hiyo atakae kuwa tayari kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari.
Hala hala msimbemende mtoto tu.Fanya kunitafuta kwa namba hiyo nimetuma sasa
Ha ha ha ha we una waza kwichi kwichi tuuNgoja nikufate inbox.. Mtoto sio tatizo kwani si tutasubiri ALALE?