Natafuta mme wa kunioa

Miezi sita unatafuta bwana?

Hawa hawa ha jf wanaopenda papuchi!

Utaibeba nyingine mdogo wangu
Hebu tulia kwanza ujitathmini na usianze mapenzi ukiwa na stress unaweza ukajutia maisha yako yote
 
Mie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miezi 6, nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na isitoshe ameoa mwanamke mwingine. Kwa hiyo atakae kuwa tayari kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari.
Mtoto ndo kwanza anamiezi 6 halafu wataka kuolewa, mlee basi akuekue angalau afike hata miaka mi3
 
Miezi sita unatafuta bwana?

Hawa hawa ha jf wanaopenda papuchi!

Utaibeba nyingine mdogo wangu
Hebu tulia kwanza ujitathmini na usianze mapenzi ukiwa na stress unaweza ukajutia maisha yako yote
Aisee...
 
Mie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miezi 6, nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na isitoshe ameoa mwanamke mwingine. Kwa hiyo atakae kuwa tayari kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari.
Tuwasiliane
 
Hii ngumu kweli ila naamini Mungu ni mwema atakushindia katika ombi lako naimani umejifunza mengi katika dunia hii haswa ujana ni maji ya moto .

Ushauri wangu mlee mwanao kwanza maana wanaume wa sasa hawatabiriki hata kidogo .

Atakutumia kila kukicha na akikuchoka ndiyo basi atakuacha
 
Mlee kwanza mtoto akue japo afikishe miaka miwili halafu ndio uanze kutafuta mume wa kukuoa.

Wakati huo natafuta mume jitahidi ujishughulishe na kazi yoyote ili uweze kupata cha kukizi mahitaji ya kila siku
Unajifanya mshauri kumbe hutaki majukumu
 
Mie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miezi 6, nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na isitoshe ameoa mwanamke mwingine. Kwa hiyo atakae kuwa tayari kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari.
Kwanini ulikubali akuzalishe kabla hajakuoa? Pole lakini watakuja
 
Mie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miezi 6, nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na isitoshe ameoa mwanamke mwingine. Kwa hiyo atakae kuwa tayari kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari.
Mbna ww bado msichana mdgo fight for your self ndoa inapangwa na mungu usiharakie xna hivo .
 
Uzi wa mda huu..ila naamini ushauri uliopewa umechanganya na akili zako
 
Mie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miezi 6, nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na isitoshe ameoa mwanamke mwingine. Kwa hiyo atakae kuwa tayari kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari.
Usingo mother je?we si uliona ufahari kuzalishwa.. Yako kachanga chako akilee nani?
 
Wewe umeachwa kwa sababu yaukengeufu wako..haiwezekan uachwe then mda mfupi uje utafute mwanaume..naimani papuch yako itakuwa ina signal mbovu
 
Usingo mother je?we si uliona ufahari kuzalishwa.. Yako kachanga chako akilee nani?
Sio lazima ucomment kila kitu .Anahitaji faraja.Na tumshukuru mtoto hajamtupa mpaka Sasa

Huyu Sasa nadhani Hata Mapenzi haitaji zaidi ya huduma.Yupo so Desperate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…