Bashite kasema mliotelekezwa wote muende kwake awape huduma, changamkia fursa binti,[emoji23][emoji23][emoji23]Mie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miezi 6, nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na isitoshe ameoa mwanamke mwingine. Kwa hiyo atakae kuwa tayari kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari.
Na huyo mwanamme atanyonya nini waksti unanyonyesha. Au unatafuta kwa kukusaidia matunzo baada ya kuachwa. Ila bado una option ya kumuona Makonda.Calm down kwanza lea mtoto wako akue my friend miezi 6 bado mdogo na pia hauna muda tangia umeachana na huyo baba mtoto wako
Humu utapata wanaume watakao kupa Stress hadi ujutie uamuzi wako hawato kuacha salama humu wanacho tanguliza ni kula dodo tuu alale mbele tena una mtoto mdogo hivyo komaa nae kwanza mtoto asije kuwa fundi viatu
Pia umri wako miaka 23 bado sana jipange uta vuka tuu hiyo mitihani na majaribu una pitia kila kitu kina pita hakuna kita baki milele
Upo wapMie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miezi 6, nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na isitoshe ameoa mwanamke mwingine. Kwa hiyo atakae kuwa tayari kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari.
Binti mume hatafutwi kama bidhaa fulani sokoni. Najua umechanganywa na yule mwanamume wa kwanza. Kama walivyoshauri wengine tulia, fanya kazi zako. Mwanaume wa kukuoa atajitòkeza. Usifanye haraka. Pia humu JF sio mahali muafaka pa kupata mume. Wengi humu ni wajanja sana na wajuaji. Mume utapata nje ya JF.Mie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miezi 6, nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na isitoshe ameoa mwanamke mwingine. Kwa hiyo atakae kuwa tayari kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari.
Dah....Acha uongo bana.... Mbona Demiss kapata humuhumu JF ..[emoji13]Binti mume hatafutwi kama bidhaa fulani sokoni. Najua umechanganywa na yule mwanamume wa kwanza. Kama walivyoshauri wengine tulia, fanya kazi zako. Mwanaume wa kukuoa atajitòkeza. Usifanye haraka. Pia humu JF sio mahali muafaka pa kupata mume. Wengi humu ni wajanja sana na wajuaji. Mume utapata nje ya JF.
Dah....Acha uongo bana.... Mbona Demiss kapata humuhumu JF ..[emoji13]
Dah....hakuna njia maalum ya kutafuta mke au Mume......Dunia nzima..... Cha msingi mnaendana? Baasi[emoji13]Sasa sitaki kuwateta watu waliooana humu. Wewe niambie kweli ukitaka mume ama mke ndivyo anavyotafutwa?
Ni kweli ila humu JF mimi siamini kwamba utapata mke ama mume kirahisi. Ila tukubaliane inawezekana. Isipokuwa itabidi mhusika afanye uchunguzi sana.Dah....hakuna njia maalum ya kutafuta mke au Mume......Dunia nzima..... Cha msingi mnaendana? Baasi[emoji13]
DuMtoto ndo kwanza anamiezi 6 halafu wataka kuolewa, mlee basi akuekue angalau afike hata miaka mi3
We wa kwako ana umri gani sasa? Au bado umefunga nyonga?Mdogo angu,kama ungeachana kwanza na mambo ya kuolewa hivi,japo ni mambo yako binafsi na ni maamuzi yako,naona unge-focus kumkuza mwanao kwanza akitengemaa ndio mengine yafuate.....
Nimependa Jina na Avarta!Mlee kwanza mtoto akue japo afikishe miaka miwili halafu ndio uanze kutafuta mume wa kukuoa.
Wakati huo natafuta mume jitahidi ujishughulishe na kazi yoyote ili uweze kupata cha kukizi mahitaji ya kila siku
Babuuuuu[emoji22][emoji22]We wa kwako ana umri gani sasa? Au bado umefunga nyonga?