Natafuta mme wa kunioa

Hasira hasara tulia kwanza tafakali maisha alafu ndio chukua uamuzi
 
Duuuh inashangaza kdogo wanawake wanaotafuta wenza hapa JF ni lazima utakuta kajeruhiwa kwanza huko alikotoka
 
Mie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miezi 6, nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na isitoshe ameoa mwanamke mwingine. Kwa hiyo atakae kuwa tayari kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari.
Miezi sita subiri kidogo mtoto akue.
 
I got you bby, [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Kuzaa sio shida. Weka sifa za ziada kama elimu, umbile lako, kabila lakini pia nawe unamtaka Mme mwenye sifa zipi
 
Mie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miezi 6, nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na isitoshe ameoa mwanamke mwingine. Kwa hiyo atakae kuwa tayari kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari.
Sema unatafuta wa kukulea mtoto. Ila anagalia ucje mfanya mtoto fundi via2
 
Usimimbilie ndoa kama upo instagram follow singlemotherstz au facebook itambue thamani yako mwanamke ingia huko soma kwa makini post za watu tutakutana kule plz ingia hizo group
 
Mie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miezi 6, nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na isitoshe ameoa mwanamke mwingine. Kwa hiyo atakae kuwa tayari kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari.
Vigezo gani wewe
 
Mie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miezi 6, nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na isitoshe ameoa mwanamke mwingine. Kwa hiyo atakae kuwa tayari kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari.

Hata mm natafuta mke njoo to tuungane
 
Hali ngumu mkuu, mtoto anamleaje?
Huyu anatafuta mtu wa kulea mwanae
 
Mie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miezi 6, nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na isitoshe ameoa mwanamke mwingine. Kwa hiyo atakae kuwa tayari kunioa na tuishi kwa amani nipo tayari.
njoo pm tuyajenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…