Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi ni mke wa mtu natafuta mme wa mtu wa kunipunguzia stress na kunipa ushaur
mi ni mke wa mtu natafuta mme wa mtu wa kunipunguzia stress na kunipa ushaur
Baba katika jina la yesu, naomba shusha nguvu na uweza wako wa ajabu, onesha uwepo wako ewe mfalme wa rehema... uende ukapondeponde na kusaga mioyo ya watu hawa geuza nira zao zikugeukie wewe, moto wako uwashukie na kuondoa ibilisi ndani yao wafungue eee mungu wajue maisha yakweli yapo mbinguni na sio kwenye starehe za muda tu hapa duniani, Shusha baraka zako mungu ukawakomboe zidi ya moto wa hukumu ya siku ya mwisho...... Aaaaaaamen
Niko serious sana coz nina stress mno. Niko mwanza
Mi ni mke wa mtu natafuta mme wa mtu wa kunipunguzia stress na kunipa ushaur
Mwanza sehemu gani ..?? Sema basi unipate...Niko serious sana coz nina stress mno. Niko mwanza
vipi Mkunde Original, ulisha achana na mumeo tukufuate..?? Maana ulisema unamvizia akiwa kazini nawe unatimka...heheheheeeee nimecheka sana, hongera baba mchungaji umenikumbusha enzi za mzee kifimbo cheza.
Mi ni mke wa mtu natafuta mme wa mtu wa kunipunguzia stress na kunipa ushaur
mimi hapa mume wa mtu,ulikuwa unasemaje?
vipi Mkunde Original, ulisha achana na mumeo tukufuate..?? Maana ulisema unamvizia akiwa kazini nawe unatimka...
Kwa hiyo ulikuwa unatishia nyau..?? Kwani kumpenda umeanza baada ya kuwa unataka kuondoka...?? HONGERA KWA MAAMUZI MAZURI, ILA USIRUDIE TENA, AKIKUZOWEA KWAMBA WEWE WA SITAKI NATAKA, KUNA SIKU ATAKUACHA JUMLA, HALAFU UJE HUMU KULIA LIAHapana sikuondoka bado niko na mume wangu kuna mabadiliko nayaona nampenda sana mume wangu.
Kwa hiyo ulikuwa unatishia nyau..?? Kwani kumpenda umeanza baada ya kuwa unataka kuondoka...?? HONGERA KWA MAAMUZI MAZURI, ILA USIRUDIE TENA, AKIKUZOWEA KWAMBA WEWE WA SITAKI NATAKA, KUNA SIKU ATAKUACHA JUMLA, HALAFU UJE HUMU KULIA LIA
Mi ni mke wa mtu natafuta mme wa mtu wa kunipunguzia stress na kunipa ushaur