heee mbona banned tena mdogo wangu?
kuna uwezo wa kuifungia pc yangu isiione JF page?
Lakini hilo si lilikua swali tu?
Lakini hilo si lilikua swali tu?
Labda hakumaanisha kufungiwa ki ukweli?
Idadi ya wanawake wasomi wasioolewa inaongezeka na mjue hawa madada ni wabaguzi wa kiwango cha juu.
Sisi wanaume wengi ambao elimu ipo juu, huwa hatuna ubaguzi eti kumtafuta mke mwenye masters au any other qualifications than care and love dedicated.
Watatafuta sana waume wenye PHD wasione halfu wakiwapata watakuwa wamekuwa kama gunia la mkaa.
wapendwa wana JF
mimi ni binti mwenye umri wa miaka 28!
Napenda kuwasilisha ombi langu la kutafuta mme
sifa za ninaemtaka
awe na umri wa kuanzia miaka 25-na kuendelea!
elimu kuanzia masters na kupanda juu!
any one interested ani PM mengine tutafahamiana zaidi
NA MIMI NATOKA MWAMASALALA NG'WANZA, ELIMU YANGU NI MASTERS YA BUSINESS ADMINISTRATION TOKA COLUMBIA UNIVERSITY UMRI WANGU NI MIAKA 34, SASA HIVI NAFANYA KAZI HAPA NEW YORK KWENYE STOCK MARKET. KAMA UNA VIGEZO VIFUATAVYO NITUMIYE INFORMATION ZAKO kokolo1@yahoo.com
VIGEZO/QUALIFICATIONS:
1: LAZIMA UMBO LAKO LIWE NUMBER 6 SIYO 8 OR 9 OR 1
2: MIGUU KAMA CHUPA YA BIA
3: USO UWE MZURI, NA MIDOMA MIPANA
4: HIPS ZIWE PANA KIASI
5: ELIMU: UWE MWEPESI WA KUELEWA MAJUKUMU YAKO
6: USIWE NA TAMAA SANA
7: USIWE KAMA MAMA MKAPA (MRAMBA & MKAPA)
8: UMBO LAKO LISIWE LA KUNENEPA SANA, MAANA UKIJA HAPA UKILA KUKU
NA BUGGER SITAKI UWE KAMA BLACK AMERICAN.
9: UWE BIKIRA
10: USIWE LIMBUKENI UKIJA HAPA NY NA KUONA MAGARI MENGI YA KIFARI
NATAKA LILE NATAKA HILI
KAZI KWAKO MCHUMBA MUTEGEMEWA
Pia wewe una elimu gani? na unapatikana wapi?
Idadi ya wanawake wasomi wasioolewa inaongezeka na mjue hawa madada ni wabaguzi wa kiwango cha juu.
Sisi wanaume wengi ambao elimu ipo juu, huwa hatuna ubaguzi eti kumtafuta mke mwenye masters au any other qualifications than care and love dedicated.
Watatafuta sana waume wenye PHD wasione halfu wakiwapata watakuwa wamekuwa kama gunia la mkaa.
wapendwa wana JF
mimi ni binti mwenye umri wa miaka 28!
Napenda kuwasilisha ombi langu la kutafuta mme
sifa za ninaemtaka
awe na umri wa kuanzia miaka 25-na kuendelea!
elimu kuanzia masters na kupanda juu!
any one interested ani PM mengine tutafahamiana zaidi
kwa kweli naamini mme wangu yumo hapa!nimefunuliwa kabisa!msifikiri nimeandika kwa kucheza hapa!mimi naamini MUNGU my husband is here!
nitamfahamu tu mme wangu!naamini yupo hapa!im serious!nitaondoka muda si mrefu on line naacha tena my mail add nmasanja1@gmail.com