Natafuta mpenzi atayekuja kuwa mke (MBAGALA), sina vigezo vingi.

Natafuta mpenzi atayekuja kuwa mke (MBAGALA), sina vigezo vingi.

Hey There

Senior Member
Joined
Nov 12, 2023
Posts
120
Reaction score
372
Moderator usifute neno mbagala kwenye Tittle.

Sina mambo mengi ninaweza penda mwanamke yeyote just awe anaonekanika tu (Uzuri Basic), Awe anaishi Mbagala hili isiwe shida kuonana na kuseti hatua nyengine.

Sifa nyengine asiwe na mtoto, Umri asizidi 27.

-----------

Kwa wakati huu nahitaji mpenzi tukiendana mpaka mwakani tuwe na ndoa au mtoto (Kimoja kati ya viwili au vyote).

-----

1) We mpenzi nicheki tu PM niwekee na nambako
2) Tutumiane picha wasap
3) Tutaonana Cafe
4) Penzi linaanza

Very simple
 
Moderator usifute neno mbagala kwenye Tittle.

Sina mambo mengi ninaweza penda mwanamke yeyote just awe anaonekanika tu (Uzuri Basic), Awe anaishi Mbagala hili isiwe shida kuonana na kuseti hatua nyengine.

Sifa nyengine asiwe na mtoto, Umri asizidi 27.

-----------

Kwa wakati huu nahitaji mpenzi tukiendana mpaka mwakani tuwe na ndoa au mtoto (Kimoja kati ya viwili au vyote).

-----

1) We mpenzi nicheki tu PM niwekee na nambako
2) Tutumiane picha wasap
3) Tutaonana Cafe
4) Penzi linaanza

Very simple
Mlilalamika sana warembo wa Dar live,sasa tumewafikia.....Kama nawaona vile wanavyokanyagana😂😂😂
 
Moderator usifute neno mbagala kwenye Tittle.

Sina mambo mengi ninaweza penda mwanamke yeyote just awe anaonekanika tu (Uzuri Basic), Awe anaishi Mbagala hili isiwe shida kuonana na kuseti hatua nyengine.

Sifa nyengine asiwe na mtoto, Umri asizidi 27.

-----------

Kwa wakati huu nahitaji mpenzi tukiendana mpaka mwakani tuwe na ndoa au mtoto (Kimoja kati ya viwili au vyote).

-----

1) We mpenzi nicheki tu PM niwekee na nambako
2) Tutumiane picha wasap
3) Tutaonana Cafe
4) Penzi linaanza

Very simple
😂😂 We jamaa Sema unataka nyapi ya bei rahisi usipate gharama ya nauli!! Na wa mbagala walivyo hoi mbona utawapata wengi

Cc : ephen_
 
Taratibu bro kuna mchumba wangu humu
 
Back
Top Bottom