Sina hakika kama utapa mchumba maana umri huo unaotafuta wameshaolewa,, pole sana kwa upweke!
sasa wewe Joshua funguka mpnz m/ke au me?au shoga au basha wote ni wapenzicc Madame B, Asprin, RaizaSalamu za Pasaka Najitokeza kutafuta mpenzi mwenye umri kati ya miaka 35 mpaka 45, awe mkristo, mwenye mwili/mnene, anaejiheshimu, na anayependa kujibidisha hususan katika biashara, awe tayari kupima UKIMWI. email yangu joshuaokelo@gmail.com. Asante.
Unaweza kututhibityishia pasopo shaka kuwa wewe umebakiza muda gani wa kuishi?Oimole Okelo. NADHANI UTAKUWA NA MIAKA 50 KWA SASA,UMESHAZOEA KUWA ALONE UKIZINGATIA UMEBAKIZA MIAKA MICHACHE ZAIDI YA KUISHI KULIKO ULIYOKWISHA KUISHI.Mi nakushauri kuwa ISHI HIVYO HIVYO NA RIDHIKA NA HALI HIYO ULIYONAYO. Elokamano.
AmeeenUnaweza kututhibityishia pasopo shaka kuwa wewe umebakiza muda gani wa kuishi?
Kufuru nyingine zinavuka mipaka!!
Eeh Mungu msamehe mtumishi wako huyu kwakuwa hajui alisemalo. AMINA.
umri 35-40 huyo si bibi kabisa nenda makanisani na misikitini utawapata
Unasalimiwa na mrito!Kwa taarifa yake mwambie, kanisani hata kikongwe wa miaka themanini bado ni kigori.
Yule wa pale Mwenge magorofani au yupi?Unasalimiwa na mrito!
Yule waaa......tuliyekuwa naye maghorofani amevaa dera!Yule wa pale Mwenge magorofani au yupi?