the host Member Joined Oct 5, 2017 Posts 12 Reaction score 3 Oct 7, 2017 #1 Habari za wakati wapendwa ? Ni matumaini yangu mu wazima wa Afya ! Natafuta mpenzi wa kike anaeishi Dar, awe mchumba na hatimae mke wangu . Awe mrefu kiasi , mwembamba wastani , mwenye nidhamu na mwenye upendo wa dhati . Mimi ni Mrefu wa futi 5.8 na mwembamba kiasi . Naishi Dar K/nyama , kitaaluma ni Mwanahabari & Mwanasaikolojia . Kwa yeyote aliye tayari karibu PM , Ahsanteni !!
Habari za wakati wapendwa ? Ni matumaini yangu mu wazima wa Afya ! Natafuta mpenzi wa kike anaeishi Dar, awe mchumba na hatimae mke wangu . Awe mrefu kiasi , mwembamba wastani , mwenye nidhamu na mwenye upendo wa dhati . Mimi ni Mrefu wa futi 5.8 na mwembamba kiasi . Naishi Dar K/nyama , kitaaluma ni Mwanahabari & Mwanasaikolojia . Kwa yeyote aliye tayari karibu PM , Ahsanteni !!
Thad JF-Expert Member Joined Mar 14, 2017 Posts 13,380 Reaction score 31,566 Oct 7, 2017 #2 Kila la heri kiongozi
the host Member Joined Oct 5, 2017 Posts 12 Reaction score 3 Oct 7, 2017 Thread starter #3 Thad said: Kila la heri kiongozi Click to expand... Nashukuru mkui
BABA SANIAH JF-Expert Member Joined Oct 20, 2013 Posts 4,606 Reaction score 5,922 Oct 7, 2017 #4 Nenda pale kwa wazee wa suti kwenye maghorofa yao kuna wadada wa suti wapya kamatia mmoja.
the host Member Joined Oct 5, 2017 Posts 12 Reaction score 3 Oct 8, 2017 Thread starter #5 noiselessly hunter said: Nenda pale kwa wazee wa suti kwenye maghorofa yao kuna wadada wa suti wapya kamatia mmoja. Click to expand... Wapi hapo ndugu ? Naomba unielekeze tafadhali .
noiselessly hunter said: Nenda pale kwa wazee wa suti kwenye maghorofa yao kuna wadada wa suti wapya kamatia mmoja. Click to expand... Wapi hapo ndugu ? Naomba unielekeze tafadhali .
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 86,410 Reaction score 169,862 Oct 8, 2017 #6 Yaani mchumba wewe kigezo chako ni awe dar na awe mwembamba kidogo baaaasi!!
abubakari moshi Member Joined Jul 12, 2017 Posts 32 Reaction score 6 Oct 8, 2017 #7 Honger kw kutafut mpenz
the host Member Joined Oct 5, 2017 Posts 12 Reaction score 3 Oct 9, 2017 Thread starter #8 espy said: Yaani mchumba wewe kigezo chako ni awe dar na awe mwembamba kidogo baaaasi!! Click to expand... espy said: Yaani mchumba wewe kigezo chako ni awe dar na awe mwembamba kidogo baaaasi!! Click to expand... Awe mrefu kiasi , mwembamba wastani , mwenye nidhamu na mwenye upendo wa dhati . Soma vizuri ndugu , hivyo ndio vigezo vyangu.
espy said: Yaani mchumba wewe kigezo chako ni awe dar na awe mwembamba kidogo baaaasi!! Click to expand... espy said: Yaani mchumba wewe kigezo chako ni awe dar na awe mwembamba kidogo baaaasi!! Click to expand... Awe mrefu kiasi , mwembamba wastani , mwenye nidhamu na mwenye upendo wa dhati . Soma vizuri ndugu , hivyo ndio vigezo vyangu.
N Niwabigira New Member Joined Oct 8, 2017 Posts 1 Reaction score 0 Oct 9, 2017 #9 Safari njema ktk utaftaji
the host Member Joined Oct 5, 2017 Posts 12 Reaction score 3 Oct 9, 2017 Thread starter #10 Niwabigira said: Safari njema ktk utaftaji Click to expand... Nashukuru mkuu