Natafuta mpenzi/mchumba

Natafuta mpenzi/mchumba

geezerlad

Senior Member
Joined
Dec 31, 2017
Posts
182
Reaction score
195
Kama heading inavyoeleza hapo juu
Sifa zangu
Kijana wa kiume 27yrs
Mrefu
Nimeajiriwa
Christian
Muaminifu
Upendo wa kweli

Sifa za ninaye muhitaji
Msichana
Umri 20-26yrs
Awe anashughuli ya kufanya
Mwenye upendo wa kweli
Aliye tayari kuwa na mahusiano ya kuelekea ndoa
Mkristo
Akiwa anaishi Dar ni vizuri zaidi

Ni PM tuweze kuongea zaidi
Akhsante.
 
Mungu akutangulie katika hilo.

Jina lako limenikumbusha mwana HipHop Geez - Mabovu(R.I.P)

Kama mpenzi wa muziki wa hiphop ninazipenda nyimbo zake japo zipo chache na style ya uimbaji wake pia.
 
Mungu akutangulie katika hilo.

Jina lako limenikumbusha mwana HipHop Geez - Mabovu(R.I.P)

Kama mpenzi wa muziki wa hiphop ninazipenda nyimbo zake japo zipo chache na style ya uimbaji wake pia.
Aisee nilikua nampendaga pia Geez hasa ule wimbo wake ''mtoto wa kiume''. R.I.P mabovu
 
Kama heading inavyoeleza hapo juu
Sifa zangu
Kijana wa kiume 26yrs
Mrefu
Nimeajiriwa
Christian
Muaminifu
Upendo wa kweli

Sifa za ninaye muhitaji
Msichana
Umri 20-25yrs
Awe anashughuli ya kufanya
Mwenye upendo wa kweli
Aliye tayari kuwa na mahusiano ya kuelekea ndoa
Mkristo
Akiwa anaishi Dar ni vizuri zaidi

Ni PM tuweze kuongea zaidi
Ahksante.
Nakumbushia
 
Kama heading inavyoeleza hapo juu
Sifa zangu
Kijana wa kiume 27yrs
Mrefu
Nimeajiriwa
Christian
Muaminifu
Upendo wa kweli

Sifa za ninaye muhitaji
Msichana
Umri 20-25yrs
Awe anashughuli ya kufanya
Mwenye upendo wa kweli
Aliye tayari kuwa na mahusiano ya kuelekea ndoa
Mkristo
Akiwa anaishi Dar ni vizuri zaidi

Ni PM tuweze kuongea zaidi
Akhsante.
Jamani hajapatikana bado.
 
Back
Top Bottom