Natafuta mpenzi/mchumba

geezerlad

Senior Member
Joined
Dec 31, 2017
Posts
182
Reaction score
195
Kama heading inavyoeleza hapo juu
Sifa zangu
Kijana wa kiume 27yrs
Nina mwili kiasi
Mrefu
Nimeajiriwa
Christian
Muaminifu
Upendo wa kweli

Sifa za ninaye muhitaji
Msichana
Umri 20-26yrs
Awe anashughuli ya kufanya
Mwenye upendo wa kweli
Aliye tayari kuwa na mahusiano ya kuelekea ndoa
Mkristo
Akiwa anaishi Dar ni vizuri zaidi

Ni PM tuweze kuongea zaidi
Akhsante.
 
Tunaopractice buddhism tunahali mbaya kwa kweli
 
Wale mabinti wanaokwenda kwa mzee wa upako na kwingine kutafuta wanaume kwanini wasikuje huku kumenoga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…