Unum1_yote
Member
- Oct 21, 2023
- 25
- 27
Maokoto yapo? Ebu nirushie na ya kutolea nijue kama unaweza kutunza! ๐๐Natafuta mwanamke ,mpenzi ,mchumba.
Mimi sifa yangu kubwa awe na hofu ya Mungu,na asiwe kibonge tafadhari.
Mimi ni mweusi,mwenye urefu wa wastani..si mrefu na wala si mfupi,mkristukwa dini,umri kuanzia 18-24
Ambae yuko tayari,tafadhari anicheki email: benjaminson1421@gmail.com
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mnene ndo ana hofu ya Mungu alafu haumtaki sasa mwembamba anahofia nini zaid ya kuhofia kimbunga kisije
Wanene jamani punguzeni kula [emoji28][emoji28]Wanawake wanene tupo mbion kwenda kudai hakizetu haiwezekani sio sawa [emoji3][emoji3]
Unahoja ..nimeisikiaHapo mtaani kwako umekosa? Nenda bar wapo wa kumwagha maana hapa jf utajichanganya na Kenge!
๐ญ๐ญ๐ญMnatusimangaWanene jamani punguzeni kula [emoji28][emoji28]
[emoji3064][emoji3064][emoji3064] mapema tu upige mzinga..Maokoto yapo? Ebu nirushie na ya kutolea nijue kama unaweza kutunza! [emoji23][emoji23]
Je ukishamlisha "vinono" na akawa kibonge, utamwacha au utamsimanga ili akonde na uendelee kumpenda?Mimi sifa yangu kubwa awe na hofu ya Mungu,na asiwe kibonge tafadhari.
Dah ila watu ๐๐๐Mnene ndo ana hofu ya Mungu alafu haumtaki sasa mwembamba anahofia nini zaid ya kuhofia kimbunga kisije
๐๐๐๐Aisee nimechkaMnene ndo ana hofu ya Mungu alafu haumtaki sasa mwembamba anahofia nini zaid ya kuhofia kimbunga kisije
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka sana aiseeMnene ndo ana hofu ya Mungu alafu haumtaki sasa mwembamba anahofia nini zaid ya kuhofia kimbunga kisije
[emoji24][emoji24][emoji24]Mnatusimanga