Natafuta Mpenzi>Mke

Natafuta Mpenzi>Mke

Japtz

Member
Joined
Nov 16, 2012
Posts
23
Reaction score
1
Habari wana JF.mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 34,elimu ya kidato cha sita,mkulima na mfugaji,maji ya kunde,mrefu,mkristo,mwelewa na mnyenyekevu,mpole,mpenda maendeleo kihalali.
Msichana ninayemtaka awe mpenzi wangu na hatimaye mke wangu awe na sifa zifuatazo;mwenye elimu ya kidato cha nne na kuendelea,mwenye mapenzzi ya dhati,mwelewa,mkarimu,mchacharikaji na mwenye kujitegemea,kabila lolote,dini awe mkristo ila dhehebu lolote,asiwe na mtoto,umri wowote lakini si chini ya miaka 22.
Mwenye kuvutiwa nami tafadhali naomba anitumie ujumbe binafsi (pm) nami nitamjibu mara moja.
N
Wasichana mnakaribishwa wote lakini sipendi na wala sitaki mabinti wenye mapenzi ya runinga.
 
Habari wana JF.mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 34,elimu ya kidato cha sita,mkulima na mfugaji,maji ya kunde,mrefu,mkristo,mwelewa na mnyenyekevu,mpole,mpenda maendeleo kihalali.
Msichana ninayemtaka awe mpenzi wangu na hatimaye mke wangu awe na sifa zifuatazo;mwenye elimu ya kidato cha nne na kuendelea,mwenye mapenzzi ya dhati,mwelewa,mkarimu,mchacharikaji na mwenye kujitegemea,kabila lolote,dini awe mkristo ila dhehebu lolote,asiwe na mtoto,umri wowote lakini si chini ya miaka 22.
Mwenye kuvutiwa nami tafadhali naomba anitumie ujumbe binafsi (pm) nami nitamjibu mara moja.
N
Wasichana mnakaribishwa wote lakini sipendi na wala sitaki mabinti wenye mapenzi ya runinga.

kwa hiyo wasichana tu...wanawake hawahitajiki?
 
Sasa mkuu kwa kuwa huna masharti makali, mdada msomi ktk kiwango cha masters inakuwaje?
 
kila la heri mkuu, ila inabidi uwe makini kuchuja, usije angukia wale wa kona bar pale sinza
 
Hapa JF kuna majini,yakija utayajuaje?Mambo mengine bwana yaajabu sana.Mtakuja kuoa majini kwa upumbavu wenu.Huwezi kupata mke mwema JF,belive me.Tafuta kwenu au mtaani, mbona wapo.Make sure amekuwa confirmed kuwa na tabia nzuri.Anayejileta hafai.Mke mwema anatafutwa,hajileti.
Habari wana JF.mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 34,elimu ya kidato cha sita,mkulima na mfugaji,maji ya kunde,mrefu,mkristo,mwelewa na mnyenyekevu,mpole,mpenda maendeleo kihalali.
Msichana ninayemtaka awe mpenzi wangu na hatimaye mke wangu awe na sifa zifuatazo;mwenye elimu ya kidato cha nne na kuendelea,mwenye mapenzzi ya dhati,mwelewa,mkarimu,mchacharikaji na mwenye kujitegemea,kabila lolote,dini awe mkristo ila dhehebu lolote,asiwe na mtoto,umri wowote lakini si chini ya miaka 22.
Mwenye kuvutiwa nami tafadhali naomba anitumie ujumbe binafsi (pm) nami nitamjibu mara moja.
N
Wasichana mnakaribishwa wote lakini sipendi na wala sitaki mabinti wenye mapenzi ya runinga.
 
Hapa JF kuna majini,yakija utayajuaje?Mambo mengine bwana yaajabu sana.Mtakuja kuoa majini kwa upumbavu wenu.Huwezi kupata mke mwema JF,belive me.Tafuta kwenu au mtaani, mbona wapo.Make sure amekuwa confirmed kuwa na tabia nzuri.Anayejileta hafai.Mke mwema anatafutwa,hajileti.

Kiswahili kigumu sana jamani..Si amesema anatafuta mke? Au kasema mke ajilete? kwani online nayo si njia mojawapo ya kutafuta??
anyway.. kwa upande mwingine ni kweli yampasa kuwa makini anaweza pata jini pia
 
uwiii....mi nimekupenda mpaka nimedondoka kutoka kaunta.....come this way sweet papaya.....
 
Back
Top Bottom