natafuta mpenzi mkwel mm ni mgeni dar nina mwez tu

natafuta mpenzi mkwel mm ni mgeni dar nina mwez tu

Kitu_Kizito_Kichwani

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2010
Posts
204
Reaction score
133
mm jamani ndugu yenu natafuta rafiki wa kike hapa dar nimeahamia hapa kikaz niko poa cna makuu yeyeto aliyetayari tuwacliane tu kwenye inbox ...
 
Karibu sana Bongo! Jiandae kuibiwa.
 
mm jamani ndugu yenu natafuta rafiki wa kike hapa dar nimeahamia hapa kikaz niko poa cna makuu yeyeto aliyetayari tuwacliane tu kwenye inbox ...


na huyo ulimuacha kijijini hana chake?
OTIS
 
Welcome my dawg!! DSM The home of Riz and JK,where niqqaz got dou' blow it all dayz,B!t*# that boost in the city all day! DSM the livest borough.
 
na huyo ulimuacha kijijini hana chake?
Hapo chacha ahesabu maumivu tu
 
Mmmmh umefika kwa watoto wa mujini, usiwe na shaka penzi utalipata!
 
USIJE MJINI, watoto wa hapo mzee ev'w/end bata mnaanzia samaki-samaki then Ngwasuma, utaweza?
 
Karibu sana moyoni mwangu,
Kabla ya yote nitajie mali zako zote ulizotoka nazo kijijini.
 
mm jamani ndugu yenu natafuta rafiki wa kike hapa dar nimeahamia hapa kikaz niko poa cna makuu yeyeto aliyetayari tuwacliane tu kwenye inbox ...
Utmjuaje kama ni mwaminifu? Labda jaribu kucheki pande za facebook huko huenda utafanikiwa.
 
mm jamani ndugu yenu natafuta rafiki wa kike hapa dar nimeahamia hapa kikaz niko poa cna makuu yeyeto aliyetayari tuwacliane tu kwenye inbox ...

Halafu mkuu huo mwandiko wako unaonyesha wewe ni mdau mzuri wa kule upande mwengine, PIA huku hatuiti Inbox tunaita PM.. Kila la kheri kwa utaempata..!
 
Umemuacha na nani mpenzio huko ulikotoka? pole sana.
 
Back
Top Bottom