Km ni Mwanafunzi wa chuo fulani ungekanyaga mafuta kwenye Book maana umesikia wenzako wanavyoDISCO km UDSM?
humu JF wengi watakumalizia vi vocha vyako bora F/B utampata hata kwa sura
Ngoja watakuPM
Mbona wewe huna mapenzi ya kweli?
Laiti kama ungekuwa na mapenzi ya kweli ungeshampata mwenzio hapo hapo chuoni na usingekuja hapa jf
Mimi ninayo mapenzi ya kweli ila sikupi,
Basi nenda taratibu utapata wako wa kukufaa maana harakaharaka utaambulia sio wako na mkaachananashukuru kwa ushauri wako,ila elewa kuwa sio mapenzi tu yanasababisha mtu adisco,
Mpenzi wa kike, elimu,kabila
na dini havina tija la muhimu ni awe na mapenzi ya dhati
kwangu,tupendane bila kujali hali ya maisha.