Ibrashinto
Senior Member
- Jul 3, 2012
- 123
- 6
Nina umri wa miaka 20 Napenda sana kuchat, natafuta mpenzi na marafiki wakike walioko Bukoba mjini tu kwa sababu za kuonana nae! Awe na sifa zifuatazo
>elim kidato cha tatu na kuendelea juu.
>umri miaka 15 na kuendelea kwa rafiki
>awe msafi na anae jijari
>mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu ndani yake
atakae penda tuchat ama kuwa mpenzi wangu ani PM
>elim kidato cha tatu na kuendelea juu.
>umri miaka 15 na kuendelea kwa rafiki
>awe msafi na anae jijari
>mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu ndani yake
atakae penda tuchat ama kuwa mpenzi wangu ani PM