Natafuta mpenzi, Umri 18-35

kido master

Member
Joined
Sep 20, 2017
Posts
23
Reaction score
119
Mimi naishi Dar nina miaka 23 natafuta mpenz wakudate nae kwana uko mbele tuombe mungu tunaweza tukawa mbali. awe dini yoote umri kuanzia 18-35 awe anaishi Dar es salaam . atakae kuwa tayari .. 0712-788315
mashine ipo punda abebi .
 
Kila la heri mkuu
Ila hapo mwisho sijaelewa au ndo uzee??
"Mashine iko....... manake nini??
 
Dgo jitahidi kuficha profile yako huku cyo kuzuri Sana kwa unachofanya
 
Kijana katika ubora wake kwenye mapenzi mubhashalah
 
Hujaweka jina la mtaa na house no ili wajue wapo mbali ama jirani na kwako, sorry kwenu!
 
Vijana wa FB anatafuta mpenzi.sijui ata shule umemaliza.
 
Una haki ya kutafuta. Maana wewe ni mrembo, umekamilika
 
Ukute aliye andika mwingine na mwenye picha mwingine


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…