Natafuta mpenzi wa jinsia ya kike!

cemalema

Member
Joined
Feb 22, 2013
Posts
49
Reaction score
18
Sifa zake awe mrefu usiopungua futi tano
sichagui dini wala kabila
elimu yake kidatochanne na kuendelea
itakuwa poa sana akiwa na makalio makubwa ya hamasa
awetayari kuishi mkoa wa mbeya atume picha
kwa mawasiliano atumie emalema2008@gmai.com
 
km unaweza ni PM vocha ya airtel 2000 na namba yako!
 
Ukiweza ufanye kuedit kichwa cha thread kisomeke '.......jinsi......' badala ya ".....jinsia....."
 
hata email yako ina utata, kijana you are not serious, it should be gmail.com utakosa nke wewe
 
Wenyewe wapo njiani wanakuja
 
Unagari na nyumba yako mwenyewe au unaishi kwa baba?
 
Sifa zake awe mrefu usiopungua futi tano
sichagui dini wala kabila
elimu yake kidatochanne na kuendelea
itakuwa poa sana akiwa na makalio makubwa ya hamasa
awetayari kuishi mkoa wa mbeya atume picha
kwa mawasiliano atumie emalema2008@gmai.com

Mbeya sehemu gani....? usalama wa ngozi yangu ni asilimia ngapi.....? nimeigharamikia ujue.......l'oreal products sio bei rahisi kivile......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…