Duuuuuuu!!!!Kila la kheri kiongozi ila kwanini usingepita Yale mazingira hatarishi yaan kule waiishipo machangu....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huko pm hakutatosha
Hapana sina utafiti wowote ndugu. Ni ngumu kuaminika sababu ya mtazamo hasi wa jamii yetuBila Shaka mkuu, nahisi kuna kautafiti unataka kufanya , c bure
Inwezekana kabisa, kila la kheri bossHabari zenu wakuu. Najitokeza kwenu mimi ni kijana wa kiume umri miaka 27. Ninaishi Dar es Salaam. Ninatafuta mchumba wa kike mwenye maambukizi ya virusi lakini awe anatumia ARVs. Mambo mengine tutaelezana PM. Dini si muhimu sana kwangu.
Mimi mwenyewe siishi na maambukizi ieleweke.
Dira yangu:
Kuishi na VVU si sababu ya kutopata mpenzi asiye na maambukizi.
Nipo serious. Karibuni sana!
Mbona rahisi sana mkuu. Jacob zuma alisema unatakiwa baada ya kupiga bao unawahi kuogaDingii tupe na sisi maujanja ya kupiga mbizi bila mgongo kulowa kwasababu Kuna pisi kali kinyama amabazo tunaskia zimeshaungua tunaishia kuzimezea tu mate kwa mbali kama vipi tusanue tujilipue
Njoo ni kuunge na mtu sahihi kabisa ankaa na dsm. Nenda pm nimekuwekea mawasiliano yangu tuongee hutojutia.Hapana sina utafiti wowote ndugu. Ni ngumu kuaminika sababu ya mtazamo hasi wa jamii yetu