Natafuta mpenzi wa kike.

Natafuta mpenzi wa kike.

kazy

Senior Member
Joined
Sep 13, 2012
Posts
118
Reaction score
27
Mimi ni kijana wa kiume umri Napata 23 nimemaliza chuo kikuumwaka huu makazi yangu ni dare s salaam,nilkuwa na mpenzi wangu ila kutokana na kutokuwa mwaminifukwangu nimeachana nae nimejaribu kukaamwenyewe kwa kuogopa kuumizwa tenanaona kama vile najizidishia mawazo nakujiumiza so nimeona bora nitafute mwenza sio kwa sababu ya kuniliwaza but nikwa sababu nahitaji mwenza kwa umbile nimrefu,mweusi kidogo mkarimu namcheshi,umri ni vyeema asiwe mbali na mimi hata akinizidi kidogo sio mbaya nipo more than serious katikahili ukiona tunaweza kuwa wote(lovers to fiancée may be) please ni PM kwa mawasiliano zaidi thanx
 
ungesema unataka wa kusaidiana kukua naye.
 
Mimi ni kijana wa kiume umri Napata 23 nimemaliza chuo kikuumwaka huu makazi yangu ni dare s salaam,nilkuwa na mpenzi wangu ila kutokana na kutokuwa mwaminifukwangu nimeachana nae nimejaribu kukaamwenyewe kwa kuogopa kuumizwa tenanaona kama vile najizidishia mawazo nakujiumiza so nimeona bora nitafute mwenza sio kwa sababu ya kuniliwaza but nikwa sababu nahitaji mwenza kwa umbile nimrefu,mweusi kidogo mkarimu namcheshi,umri ni vyeema asiwe mbali na mimi hata akinizidi kidogo sio mbaya nipo more than serious katikahili ukiona tunaweza kuwa wote(lovers to fiancée may be) please ni PM kwa mawasiliano zaidi thanx
Nilivyoona heading, nikashangaa huyo mpenzi wako wa kike unayemtafuta alipotelea wapi? Kidogo nikushauri uende pale ITV ukawaambie nao bila hiyana watakutangazia tangazo la kupotelewa kwa mpenzi wako huyo wa kike kwenye taarifa ya saa kumi na mbili jioni "JIJI LETU"!
 
Wa kwako mlitosana kwa kukosa uaminifu, sasa unadhani utampata wapi asiye na mwenyewe? Nakushauri ukawa clinic ya wazazi uchague katoto ka kike kalikozaliwa leo ndiyo utakuta hakana mwenyewe!
 
hangout with friends, go places, have fun, your love will come. . .ushapata kazi? Au bado? At least ungekua na kazi uangalie angalie huko. . .achana na hao wanaofikiri ni wakubwa na kuanza kukudharau. . .23 its a great age for you to have a partner...people will talk of your age coz they wish times were to roll back and think how would life be.
Take your time my friend, enjoy life before life enjoys you.
 
Mods pelekeni hii kitu love connect..hapa atapata magumegume tu...watoto wa kuolewa wapo kule....
 
hangout with friends, go places, have fun, your love will come. . .ushapata kazi? Au bado? At least ungekua na kazi uangalie angalie huko. . .achana na hao wanaofikiri ni wakubwa na kuanza kukudharau. . .23 its a great age for you to have a partner...people will talk of your age coz they wish times were to roll back and think how would life be.
Take your time my friend, enjoy life before life enjoys you.
thanks kwa ushauri wako ndugu yangu nitaufanyia kazi?ila kazi kupata bado ndio naendelea kufight
 
Mimi ni kijana wa kiume umri Napata 23 nimemaliza chuo kikuumwaka huu makazi yangu ni dare s salaam,nilkuwa na mpenzi wangu ila kutokana na kutokuwa mwaminifukwangu nimeachana nae nimejaribu kukaamwenyewe kwa kuogopa kuumizwa tenanaona kama vile najizidishia mawazo nakujiumiza so nimeona bora nitafute mwenza sio kwa sababu ya kuniliwaza but nikwa sababu nahitaji mwenza kwa umbile nimrefu,mweusi kidogo mkarimu namcheshi,umri ni vyeema asiwe mbali na mimi hata akinizidi kidogo sio mbaya nipo more than serious katikahili ukiona tunaweza kuwa wote(lovers to fiancée may be) please ni PM kwa mawasiliano zaidi thanx

Unge m PM
 
Mimi ni kijana wa kiume umri Napata 23 nimemaliza chuo kikuumwaka huu makazi yangu ni dare s salaam,nilkuwa na mpenzi wangu ila kutokana na kutokuwa mwaminifukwangu nimeachana nae nimejaribu kukaamwenyewe kwa kuogopa kuumizwa tenanaona kama vile najizidishia mawazo nakujiumiza so nimeona bora nitafute mwenza sio kwa sababu ya kuniliwaza but nikwa sababu nahitaji mwenza kwa umbile nimrefu,mweusi kidogo mkarimu namcheshi,umri ni vyeema asiwe mbali na mimi hata akinizidi kidogo sio mbaya nipo more than serious katikahili ukiona tunaweza kuwa wote(lovers to fiancée may be) please ni PM kwa mawasiliano zaidi thanx

Kakaangu tulia mambo ya ndoa yanahitaji kutulia.usitafute mchumba ukiwa desperate utakutana na mwanamke desperate.Relax enjoy life she will come ambae umepangiwa.society inakuambia hivi na Mungu anakumbia hivi .Remember God rewards people who waits,.God is the best ,holiness,peace,righteousness is all what we need.
 
hamna hata m1 niliyempata mpk dk hii sipo juu kwaa sahihi nini?
 
Back
Top Bottom