Natafuta mpenzi wa kuoa mwenzenu....

Natafuta mpenzi wa kuoa mwenzenu....

elimu ya chuo awe mlefu???

Wee ni waziri wa kiswahili?
 
Mimi natumia mkorogo , vipi naweza fanikiwa?
 
Pia kuna shost wangu albino anaweza kuapply?
 
chuo gani mkuu maana viko vingi na vya level tofauti... ooops nimekumbuka kimoja ambacho joyce kiria alikuwa anatoa darasa kwa housegirls...
 
Back
Top Bottom