Natafuta mpenzi

naitwa kenedy natafuta mpenz awe mweupe au maji ya kunde.miaka 18-23.ntampenda kwa dhati.thanks

Yaani we bwana mdogo ni wa kuogopa sana, bandiko lako la kwanza tu, unatafuta demu!!

Nimeishiwa maneno!!
 
naitwa kenedy natafuta mpenz awe mweupe au maji ya kunde.miaka 18-23.ntampenda kwa dhati.thanks

hujambo dogo, vipi umekunywa uji, leo mmefundishwa nini shule, au mmeimba tu.

Ila nimecheka sana, asante kwa thread yako nzuri
 
lol mbn hata sisi msondo kithungu tunajua?baishoo I lobe u baby,ze babi tuze saaaaa,ze saa tuze yona,ze yona tuze meeee.............................
Jamani tuliosoma internationals tunawaachia wana wa uswahilini wakituimbia ma 'ukuuti ukuuti' yao
Nasisi tujikumbushe na twinkle twinkle little stars..how i wonder wat u r
 
mpenzi hatafutwi. hebu geuka nyuma na pembeni angalia wanaokuzunguka utawaona uwapendao na wakupendao kisha muombe Mungu akusaidie kuchagua mmoja sio kuja huku amabako hata sie tuliopo hutujui
 
KENNY 92 : Yai bovu yai bovuuu...... Linanuka lina nukaaa
Lina nuka nini linanuka niniiii?
Mavi ya kukuu mavi ya kukuuu!
nina ndoo yangu ...eeeh, yakuteka maji....eeeh, maji ya barafu....eeeh, yakunywa watoto...eeeh.

Sorry umepotea njia umeingilia mlango sio
 
Jamani tuliosoma internationals tunawaachia wana wa uswahilini wakituimbia ma 'ukuuti ukuuti' yao
Nasisi tujikumbushe na twinkle twinkle little stars..how i wonder wat u r

ehhh ehh
johnyy johnyy
yess papaaa
eating sugar...?
no papaaa!!!!!!!!
tuliwasikia wakiimba wakat sisi tunatoka sisiemu!!!!
 
mpenzi hatafutwi. hebu geuka nyuma na pembeni angalia wanaokuzunguka utawaona uwapendao na wakupendao kisha muombe Mungu akusaidie kuchagua mmoja sio kuja huku amabako hata sie tuliopo hutujui

kwani Miss Judith hata wale wa kupiga mara moja na kuchapa lapa mpaka nao umwombe mungu ili kuwapata?
 
naitwa kenedy natafuta mpenz awe mweupe au maji ya kunde.miaka 18-23.ntampenda kwa dhati.thanks

Duh post ya kwanza tu chalii ukaweka ad ya kutafuta mchumba? Wenyeji unawajua lakini...? Ok. endelea lakini kujaribu bahati yako!
 
ehhh ehh
johnyy johnyy
yess papaaa
eating sugar...?
no papaaa!!!!!!!!
tuliwasikia wakiimba wakat sisi tunatoka sisiemu!!!!

uwe unajibu message wewe binti!!!!!!
 
uwe unajibu message wewe binti!!!!!!

ahh mara ya mwisho kunionga vocha lin?
ntakujibu mwaya kimeo kipo mbali na upeo wa macho yangu
kipo dwn kwa chaji :glasses-nerdy::glasses-nerdy:wangu!!!!!
 

Duh post ya kwanza tu chalii ukaweka ad ya kutafuta mchumba? Wenyeji unawajua lakini...? Ok. endelea lakini kujaribu bahati yako!

habari ya hmethod, lkn mbona inaonekana kama ni wewe umekuja na ID mpya aisee.
 
Rose hizi single zinamtosha huyu dogo arudi darasani sasa aachane na mapenzi

yaan acha tu.
minatangulia darasani na chak zangu namsubiri aje nimpe darsa mardhawa!!!!!!!
 
kwani Miss Judith hata wale wa kupiga mara moja na kuchapa lapa mpaka nao umwombe mungu ili kuwapata?

nenda st joseph apo fasta ukatubu kabla sjakusemea kwa sar god!!!!
 
habari ya hmethod, lkn mbona inaonekana kama ni wewe umekuja na ID mpya aisee.

LD acha utani mi bado sijatangaza nia...nikitangaza wewe utakuwa wa kwanza kupata application yangu kabla ya kuileta hapa JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…