Natafuta mpenzi

Pesa ninazo inawezekana wewe ndio huna na ukitafuta hutanifikia.
 
Pesa ninazo inawezekana wewe ndio huna na ukitafuta hutanifikia.
Mm pesa ninazo na mke ninaye sema wewe unapesa alafu domo zege nani wa kupambana na mwenzake hapo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Sawa tulia na mkeo maana ni usiku lasivyo watakuchapia.
Mm pesa ninazo na mke ninaye sema wewe unapesa alafu domo zege nani wa kupambana na mwenzake hapo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Sawa.
Ila tambua mke wako wapo wanaomchapa kwa siri na anaweza kuwa jirani yako.
Kama wangekuwa wanamchapa sasa si ungekuta anamakovu mwili mzima na kila siku angekuwa analia...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pale kati ndio wanapo mchapa.
Kama wangekuwa wanamchapa sasa si ungekuta anamakovu mwili mzima na kila siku angekuwa analia...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…