Natafuta mpenzi

Natafuta mpenzi

nyukidume

Senior Member
Joined
Oct 18, 2017
Posts
161
Reaction score
99
Salamu wadau,

Kwa heshima na taadhima na wajulisha kwamba natafuta mchumba/mpenzi wa kike au niseme mwanamke. Angalau awe na umri wa kuanzia miaka 20-45.

Sifa: Awe mcha Mungu, imani yoyote, awe na upendo wa kweli, awe mwaminifu na ajue nini maana ya kupenda, awe na kazi halali inayo ruhusiwa kisheria.

Mimi umri wangu ni miaka 31, kazi yangu kwa sasa ni plumber na nina kampuni ya mambo ya plumbing.
 
Back
Top Bottom