Natafuta mpenzi

Kwani nimesema nakutaka mimi wala ni suggestion tu dada yetu katoe usiwe na presha sikutaki wewe ni mtz huna lolote na hao chura wako
Dada tuliza mzuka basi kwa sababu wala sijakuquote wewe na wala sikujui hapa JF!
 
How can i contact you hujaweka email adress yako sasa CV nitatuma wapi au nije pm?
 
Mchumba au Mme au Mke hawa watu huwa hawatafutwi Hapa MUNGU huusika sio nguvu zako ,Bidhaa ndo hutafutwa sana sana ukitafuta utapata sio Mwenzo wako ni hayo mkuu
 
Umemjibu kwa sababu yangu mimi sijawahi mtu kunidharau naunanidharau so hata sipendii sijakuomba au kukubembeleza kuwa na mimi .
Nimekudharau wapi?....Mimi nimepewa ofa na ukipewa ofa kuna mawili:kuna kuikubali ofa au kuikataa!....Sasa mimi kuikataa ofa ndiyo nimekudharau??!
 
Nimekudharau wapi?....Mimi nimepewa ofa na ukipewa ofa kuna mawili:kuna kuikubali ofa au kuikataa!....Sasa mimi kuikataa ofa ndiyo nimekudharau??!
Maneno uliyoyatumia yamekaa kimadharau umepewa ofa usikia mimi ni bidhaa so unapewa ofa ya sikukuu wewe tuliza ball mimi ni mtu mzima sana sihitaji mume kwanza nimesema natafuta company tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…