Sio ivyo umeenda direct sana ila ili umpate mtu Mzuri Mara nyingi mfano mimi binafsi ili nimpate mtu wa Maisha,mimi ni mkristo na Huwa kuna vyama vya kitume au nikiwa shuleni au kuhudhuria kwenye mikutano ya Kikanisa(Viwawa au TMCS) unakuta tunakutana na vijana tofauti tofauti,ikumbukwe kuwa wakaka au mabinti wenye kujiheshimu wengi wao utawakuta wakimtumikia Mungu, so lazima uwakute Mazingira hayo niliyotaja hapo juu,ila kwa chuo hapana japo wapo wachache sana So huko Unaweza jikuta sio kwamba umeenda kutafuta, narudia tena unaweza kujikuta umempenda Mtu nafikiri pengine mahusiano Mazuri sio ya tamaa yanaweza anzia hapo na sio kwamba ulieenda kutafuta Mpenzi Kanisani,hapana Bali na wewe katika Shughuli zako za kumtumikia Mungu ukajikuta umependa hapo sasa ndo me naweza sema Mtaendelea kumwomba Mungu zaidi na hatimaye uchumba hadi ndoa,Maana hamkutafutana Bali Mlijikuta mmoja wapo amependa kweli na ukamwambia akakubali basi ndo ivyo, ila ukiniambia kutafuta Mwenzi wa maisha kama bidhaa unakaa unaanza kuvizia sawa utampata lakini kama ni mke atakuwa wife material au Mme basi utajua kitakachoendelea Mnawesa msidumu kwa sababu ulimtafuta kwa Nguvu zako binafsi,Hukumhusisha Mungu,Ndo maana watu kila kukicha wanalia Ndoa zimekuwa Ndoano wanateseka sana wanajuta kwann nilioa au nilitolewa kwa sababu hawakumhusisha Mungu katika HiloKwahiyo Mungu huwaleta chumbani?
sawaAku mie bado cjaolewa asije malaika wa ndoa akanipita akidhani kua nmeshapata mume kumbe nilidanganya
NjooHow can i contact you hujaweka email adress yako sasa CV nitatuma wapi au nije pm?
Ulishapata au badoI am looking for a person who will give me company and i want a man who is good in heart,understanding,who will love me and respecting me .
I want someone who is charming lokes jokes and love to take some new places .
I need a guy who is educated .
More than one it will be an advantage.
I want someone outside the country .
I want someone who have a time to come to see me.
I want someone who is single not married .
I want someone who will enjoy our time together knows how to love.
Special and kind.
Example kenya or uganda.
I am qute and honest loving and respect for a man.
If your serious do please contact me.
Kumbe kiswahili Safi wakijuaa.Haya asante kwa ushauri
Ana tafuta danga huyo [emoji3][emoji3]Sitafuti mme natafuta mpenziii
Nimempata tayari hadi nipaize sauti ujue itakusaidia nini ?Ana tafuta danga huyo [emoji3][emoji3]
Mnaboa tu ndio maana watu wanachagua njee meaning ya muji nchi sawa tu.Kumbe kiswahili Safi wakijuaa.
Sasa izo I want someone outside the country and come to see me why??
Wa Karibu humtaku
Ushmen yupo
WazmNn tena jaman