Huko mtaani kwenu Abdul hakuna wanawake warembo?? Humu wengi ni matapeli tu mdogo anguMimi ni mwanaume wa miaka 26 muislam ninaishi Dar, mweupe mrefu mwenye mwili kidogo natafuta mpenzi mwanamke mzuri (sio uzuri wa muonekano tu, na uzuri kutoka rohoni) anaye ishi Dar au mkoa wowote ambaye yuko serious anatafuta mpenzi kama mimi, hata kama huna kazi usijali(angalau uwe na akili ya biashara), pia mwenye umri kuanzia 19 na kuendelea, sichagui dini wala kabila. ambaye yuko serious na una vigezo vyo hapo juu njoo PM. NB: Mwenye mambo mengi tafadhali usinipotezee mda..kupima lazima...
Aiseeeeee....[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Huko mtaani kwenu Abdul hakuna wanawake warembo?? Humu wengi ni matapeli tu mdogo angu
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi shamba la nyege kwema huko?? Mahindi yameshakua tayari ya kuchoma?Aiseeeeee....[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
warembo wapo wengi ila tushawachoka ndo maana kwa sasa tunatafta wa kuoa. Na vile vile unajua vzri kuna wale wa kula nao pesa na kutembea nao ila sio wa kukalisha ndani!Huko mtaani kwenu Abdul hakuna wanawake warembo?? Humu wengi ni matapeli tu mdogo angu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa shehe uku utamjuaje kwamba anatabia mzuriMimi ni mwanaume wa miaka 26 muislam ninaishi Dar, mweupe mrefu mwenye mwili kidogo natafuta mpenzi mwanamke mzuri (sio uzuri wa muonekano tu, na uzuri kutoka rohoni) anaye ishi Dar au mkoa wowote ambaye yuko serious anatafuta mpenzi kama mimi, hata kama huna kazi usijali(angalau uwe na akili ya biashara), pia mwenye umri kuanzia 19 na kuendelea, sichagui dini wala kabila. ambaye yuko serious na una vigezo vyo hapo juu njoo PM. NB: Mwenye mambo mengi tafadhali usinipotezee mda..kupima lazima...
Aisee..!!Makubwa hayaa uko serious au unatania, kumbe watu wanapata wenza wa maisha humu humu,
Kumbe jf mm ndo siielewi
Najua ni kujifunza na kuhabarika, na utani na mizaha kibao kumbe watu wapo seriously humu.
Mmh kila LA kheri mkuu, Nina mwaka 3 humu sina rafiki wala best nipo tu kuburudika cjawah kujua watu wanawapenzi humu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ulikua unatafuta kiben 10 Madam,ulishampata?Makubwa hayaa uko serious au unatania, kumbe watu wanapata wenza wa maisha humu humu,
Kumbe jf mm ndo siielewi
Najua ni kujifunza na kuhabarika, na utani na mizaha kibao kumbe watu wapo seriously humu.
Mmh kila LA kheri mkuu, Nina mwaka 3 humu sina rafiki wala best nipo tu kuburudika cjawah kujua watu wanawapenzi humu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ulikua unatafuta kiben 10 Madam,ulishampata?
Natafuta kiben ten - JamiiForums
Kumbe ilikua utani Madam!Mwisho nilimalizia na just a jokes, sababu najua, nisehemu ya mizaha na ukiwa bored ukiingia humu lazima ucheke tu, tupo kuhave fun
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaaah, humu kuna ma Ninja
joined july 14,2018Makubwa hayaa uko serious au unatania, kumbe watu wanapata wenza wa maisha humu humu,
Kumbe jf mm ndo siielewi
Najua ni kujifunza na kuhabarika, na utani na mizaha kibao kumbe watu wapo seriously humu.
Mmh kila LA kheri mkuu, Nina mwaka 3 humu sina rafiki wala best nipo tu kuburudika cjawah kujua watu wanawapenzi humu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenzako wapo huku [www.dating.co.tz]Mimi ni mwanaume wa miaka 26 muislam ninaishi Dar, mweupe mrefu mwenye mwili kidogo natafuta mpenzi mwanamke mzuri (sio uzuri wa muonekano tu, na uzuri kutoka rohoni) anaye ishi Dar au mkoa wowote ambaye yuko serious anatafuta mpenzi kama mimi, hata kama huna kazi usijali(angalau uwe na akili ya biashara), pia mwenye umri kuanzia 19 na kuendelea, sichagui dini wala kabila. ambaye yuko serious na una vigezo vyo hapo juu njoo PM. NB: Mwenye mambo mengi tafadhali usinipotezee mda..kupima lazima...
Makubwa hayaa uko serious au unatania, kumbe watu wanapata wenza wa maisha humu humu,
Kumbe jf mm ndo siielewi
Najua ni kujifunza na kuhabarika, na utani na mizaha kibao kumbe watu wapo seriously humu.
Mmh kila LA kheri mkuu, Nina mwaka 3 humu sina rafiki wala best nipo tu kuburudika cjawah kujua watu wanawapenzi humu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdogo angu, mwanamke wa kuoa hatafutwi kwa njia hii aisee, utaangukia mikononi mwa matapeli , makahaba yaliyokubuhu wakunyonyoe manyoya ufe kwa stress.warembo wapo wengi ila tushawachoka ndo maana kwa sasa tunatafta wa kuoa. Na vile vile unajua vzri kuna wale wa kula nao pesa na kutembea nao ila sio wa kukalisha ndani!
Haya nenda inbox muyajenge madamMakubwa hayaa uko serious au unatania, kumbe watu wanapata wenza wa maisha humu humu,
Kumbe jf mm ndo siielewi
Najua ni kujifunza na kuhabarika, na utani na mizaha kibao kumbe watu wapo seriously humu.
Mmh kila LA kheri mkuu, Nina mwaka 3 humu sina rafiki wala best nipo tu kuburudika cjawah kujua watu wanawapenzi humu.
Sent using Jamii Forums mobile app