I am not joking, please!NiPM nikuunganishe na Lulu
.I am not joking, please!
Hello JF?
Natafuta mpenzi mwenye sifa zifuatazo:-
JINSIA : MWANAMKE (asiye kwenye ndoa)
UMRI: >= Miaka 18
ELIMU: Kuanzia Sekondari hadi Chuo Kikuu
KAZI: Awe ni Mfanyakazi au mwenye kuingiza kipato halali
DINI: Mkristo
WASIFU: Mzuri wa umbo, asiwe mnene wala mwembamba sana,mwenye kimo cha wastani, mweupe au maji ya kunde
MAHALI: Dar es Salaam au Mikoa ya Jirani
MALENGO: Ndoa (Baadaye)
Tafadhali wale walio serious tu wani-pm kwa mawasiliano zaidi.
Mi ni mwanaume 28 yrs; ni mfanyakazi; nina degree moja; urefu wa wastani; mkristo na naishi Dar.Wee huna sifa za kuweka??
Anatafutajwewe unazo izo sifi? Ndungu yangu mke hatafutwi hivyo.
NiPM nikuunganishe na Lulu
Mi ni mwanaume 28 yrs; ni mfanyakazi; nina degree moja; urefu wa wastani; mkristo na naishi Dar.
Mpenzi wangu kwakweli sharti awe mrembo, si ilimradi sura tu.
Umenidhalilisha sana, umenionea sana, umenisababishia moyo konkasheni baada ya kusema asiwe mradi sura.
Kwa nini umenitahadharisha kuhusu sura??
Kwa taarifa yako, mie ni mzuri kuliko Remmy Ongala.
nina digrii 3, ninakampuni za export na import.
Umri wangu ni mdogo kuliko Lulu.
Ila sikutaki maana ushanzarau.
Duh! Kwa umri huo na makampuni yote hayo???????............. Lazima utakuwa ni kimada wa Ray na hizo degree zako za ch.pi sizitaki! Tena utakuta ni za Vodafasta!
Kwa mantiki hiyo basi, potea na mimi sikukutaka, sikutaki na wala sitakutaka kamwe!!!!!!!!!!!!!
sizitaki mbichi hizi.
Mi ni mwanaume 28 yrs; ni mfanyakazi; nina degree moja; urefu wa wastani; mkristo na naishi Dar.
Mpenzi wangu kwakweli sharti awe mrembo, si ilimradi sura tu.
Mi ni mwanaume 28 yrs; ni mfanyakazi; nina degree moja; urefu wa wastani; mkristo na naishi Dar.
Mpenzi wangu kwakweli sharti awe mrembo, si ilimradi sura tu.