Natafuta Mpenzi

SJUMAA26

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
607
Reaction score
168
Hello JF?

Natafuta mpenzi mwenye sifa zifuatazo:-

JINSIA : MWANAMKE
UMRI: >= Miaka 18
ELIMU: Kuanzia Sekondari hadi Chuo Kikuu
KAZI: Awe ni Mfanyakazi au mwenye kuingiza kipato halali
DINI: Mkristo
WASIFU: Mzuri wa sura na umbo, asiwe mnene wala mwembamba sana,mwenye kimo cha wastani, mweupe au maji ya kunde
MAHALI: Dar es Salaam au Mikoa ya Jirani
MALENGO: Ndoa (Baadaye)

Tafadhali wale walio serious tu wani-pm kwa mawasiliano zaidi.
 
hapo kwenye malengo ndo tumeshindwana
 
kwa namna unavyotafuta, hata ibilisi atajivalisha kanzu kabla ya kukuona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…