natafuta mpenzi

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
16,515
Reaction score
28,506
Mimi ni kijana wa miaka 25 nimemaliza chuo mwaka jana.. natafuta jimama au demu anayeweza kunitunza kwani mpaka sasa sijapata kazi na sina cha kufanya hapa mjini zaidi ya kushinda humu JF na kalaptop kangu..

kwa mwananke yeyote alite tayari kutegemewa kwa 70% tuwasiliane kupitia

0782660072(SMS ONLY)..

NB
TUMIA SMS ONLY NO CALLS
 
Kijana tafuta kazi hata kama siyo ya kitaalam ufanya wewe ni mtoto wa kiume bana..
 
Sasa hii si ungepeleka jukwaa la biashara?
Maana unacho tafuta ni ATM, sio mpenzi
Weka basi sifa zako hapo, weka na picha
Picha weka moja umevaa, ingine hujavaa
Kama ukiridhisha utapata hiyo sms sasa hivi
 

Utaharibiwa uvulana wako wewe shauri zako!!
 
As days goes on WANAUME tunazidi kupungua.! Hivi na hiyo laptop yako ukitafuta mwamvuli na meza ukaweka kona flani hivi hapo karibu na unapoishi unashindwa kuflash, kupakua nyimbo/filamu, kuweka nyimbo ktk simu, kuuza vocha etc kweli jamani? Ama kweli ni kizazi cha DOTCOM
 
sio hivyo sema nn kujisahau sana wa toto wa dotcom
 

:biggrin1::biggrin1: dah nimecheka karibia niangushe glass, dah we ni kiboko...i like ur sense of humor
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…