Natafuta mpezi

Kilichagaa19

Member
Joined
Sep 14, 2018
Posts
83
Reaction score
46
Natafuta mpenzi nipo serious .
Awe anapenda outings
Awe anajitambua
Apende wasichana wachangamfu awe anapenda kubadilika .
Asiwe mrefu sana wasrani couse mimi ni wastani.
Mwenye upendo
Na heshima .
Arusha na Moshi ni advantage kubwa .
Awe nakazi sio mchafu msafi.
31- 33 Umri.
Nipo serious ni pm
 
Vigezo vyote ninavyo ila tatizo tu mi mchafu ambaye napenda msichana ndo anifanye kuwa msafi.
 
31-33 umri yan unatafuta uyo MPEZI kama unasolve maths iv
Kaz ya uyo MPEZI na ww vinauhusiano gan??

Labda nijarbu kuongea ktu mpenzi wa kwel na mwenye mapenz ya dhat n kaz yako mwenyew
 
31-33 umri yan unatafuta uyo MPEZI kama unasolve maths iv
Kaz ya uyo MPEZI na ww vinauhusiano gan??

Labda nijarbu kuongea ktu mpenzi wa kwel na mwenye mapenz ya dhat n kaz yako mwenyew
Haya mkorea chumong
 
kupata mpezi anaejitambua utapata tabu sana tafuta tu mpezi wa outing
 
Unatafuta mpenzi wa outings?
 
Mkuuu, wewe k au unamkia ? Please
 
Punguza punguza miaka nije mda huu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…