rafikimkweli
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 349
- 121
pitisha bajeti kwanza, ijulikane ni bei gani, iweke hapa, kisha MENGINE yatafuata....
Bajeti yangu nasubiria ipitishwe na bunge la ubongo wangu.
Kwa siku tatu tu..
Yaani leo usiku mkesha...
Kesho sikukuu,
Na kesho kutwa
Tunaachana...
Ukuwa serious ni PM!!
mtu mwenyewe unatoka familia maskini kabisa,ndugu zako wanakufa njaa mkoa huko.halafu mama yako alikuwa analalamika hujamtumia hata tsh 10000 ya kununua kilo ya nyama xmas hii.afu uko hapa unajifanya unajua kutumia.