nguvusimba
JF-Expert Member
- Feb 17, 2020
- 1,124
- 1,839
kwenye ukoo wetu hao watakuwa dada zangu na miiko hairuhusu mkuuKwenye ukoo wenu hakuna warembo wazurizuri?
Mods please peleka jukwaa linalohusikaAloooo Omba Mods wahamishie huu Uzi kule MMU, love connect au Chit chat Utapata wateja fasta...Wengi Watakuja PM, kwenye wall watahisi aibu.....
kuna ubaya gani nikiwa naye sasa?Ungetakiwa upate mtoto kabla ya kuingia kwenye ndoa
Huyo hapo mkuukwa mrembo aliye tayari natafuta dada wa kuzaa naye, awe na umri kuanzia miaka 18 hadi 35. Mimi binafsi nina 38 na ninakazi nzuri ya kuweza kumhudumia mtoto. Nimeoa. Kwanini nataka mtoto nje ya ndoa? mke wangu hataki kuzaa watoto zaidi ya wawili na kusema kweli naitaji na ninapenda kuwa na watoto wengi. Aliye tayari tafadhali aje inbox. Ninatagharamia mahitaji yote ya mtoto na mama yake.
Dini hairuhusu kuwa na mke rasmi zaidi ya mmojaHakuna ndoa ya 2 kweli nikutunuku
Humtendei haki mkeo ama mkae na kujadiliana kuhusu kupata mtoto mwingine aidha nje ya ndoa ama toka kwakekuna ubaya gani nikiwa naye sasa?
na ndiyo maana mimi siyo mchezaji38Yrs bora utulie tu maana hapo kama ungekuwa mchezaji ungekuwa umestaafu ...uwo umri nimaji ya Jioni.
Sent using Tume huru
Kwa mrembo aliye tayari natafuta dada wa kuzaa naye, awe na umri kuanzia miaka 18 hadi 35. Mimi binafsi nina 38 na nina kazi nzuri ya kuweza kumhudumia mtoto. Nimeoa. Kwanini nataka mtoto nje ya ndoa? Mke wangu hataki kuzaa watoto zaidi ya wawili na kusema kweli naitaji na ninapenda kuwa na watoto wengi. Aliye tayari tafadhali aje inbox. Ninatagharamia mahitaji yote ya mtoto na mama yake.
Dini gani hio unipe na mstari labda kutoka kwenye kitabu cha hio diniDini hairuhusu kuwa na mke rasmi zaidi ya mmoja
Dah! Sijui kama ataruka kiunzi kilichopo kwenye hili swali😂Umemshirikisha mkeo kwamba unataka kuongeza watoto nje?
Haezi kiruka na ndio sababu kaishia kunipa like.Dah! Sijui kama ataruka kiunzi kilichopo kwenye hili swali😂
ahsanteAloooo Omba Mods wahamishie huu Uzi kule MMU, love connect au Chit chat Utapata wateja fasta...Wengi Watakuja PM, kwenye wall watahisi aibu.