PumbavuSamahani wakuu mimi ni kijana na umri wangu ni miaka 27 muhitimu wa degree nilikua nafanya kazi kwenye kampuni japo kwa muda huu imesimama, nilifanya saving zangu nikafikisha miliioni 4.5. Nimekuja kwenu nikiomba wazo la biashara yyte ambayo naweza kufanya kwa hio hela na mkoa gani.... ntasoma maoni yenu.
Jamani 😃😃Pumbavu
Pumbavu
Umehitimu degree ya Nini?Samahani wakuu mimi ni kijana na umri wangu ni miaka 27 muhitimu wa degree.
Nilikua nafanya kazi kwenye kampuni japo kwa muda huu imesimama, nilifanya saving zangu nikafikisha miliioni 4.5.
Nimekuja kwenu nikiomba wazo la biashara yyte ambayo naweza kufanya kwa hio hela na mkoa gani.... ntasoma maoni yenu.
If interested njoo tufanye phone accessories na ufundi wa simu kwa 2.5ml
Pm kama uko seriousWapi huko ndugu mi nije
Ile hela Tuma namba hii...Pm kama uko serious
watu mna makasriko kinomAPumbavu
Mwenyewe nimeshangaa, tuko watu wengi humu na mjadala ni WA wazi, lakini inataka kuwa kama wanauziana bangiIle hela Tuma namba hii...
Kwani hapa haiwezekani ili wengi wapate faida?
#YNWA
Huko pm ni kwaajili ya kubadilishana namba ili kupeana maelekezo zaidiMwenyewe nimeshangaa, tuko watu wengi humu na mjadala ni WA wazi, lakini inataka kuwa kama wanauziana bangi
Hakikisha biashara unayo enda kufanya unaielewa, ukiweza tafuta boda, mpe mtu uwe na uwakika wa kula kuanza biashara ni changamoto sana, mambo ni magumu kwenye biashara au tafuta mtu unaye mjua kuza mtaji muanze kula faida.Samahani wakuu mimi ni kijana na umri wangu ni miaka 27 muhitimu wa degree.
Nilikua nafanya kazi kwenye kampuni japo kwa muda huu imesimama, nilifanya saving zangu nikafikisha miliioni 4.5.
Nimekuja kwenu nikiomba wazo la biashara yyte ambayo naweza kufanya kwa hio hela na mkoa gani.... ntasoma maoni yenu.