Natafuta Msaikolojia (tiba) kutoka Muhimbili

Natafuta Msaikolojia (tiba) kutoka Muhimbili

Kashasma

Senior Member
Joined
Oct 5, 2022
Posts
108
Reaction score
76
Mimi nina shida jamani naomba kama kuna mtu anajua au anamfahamu psychologist (Msaikolojia tiba) yeyote toka Muhimbili hospital akisaidiwa namba ake mimi niko huku tabora.

Kuna mgonjwa anaumwa. Sasa tulikuwa na shida na psychologist (msaikolojia tiba)
 
Aende Mloganzila. Kitengo cha Ushauri na Magonjwa ya akili (Physiatry and Mental Health).

Ninayemfahamu ni Dr Kitomary (sina hakika kama bado yupo ama la). Nitawasiliana naye kisha nitamrejea,ila ni department kubwa mno.

Wapo wataalam wa kutosha, watamsaidia.

Ili iwe rahisi, aanzie Hospital ya Rufaa Kitete. Kisha apate rufaa kwenda Mloganzila. Atahudumiwa kwa ukaribu zaidi.
 
Mimi nina shida jamani naomba kama kuna mtu anajua au anamfahamu psychologist (Msaikolojia tiba) yeyote toka Muhimbili hospital akisaidiwa namba ake mimi niko huku tabora.

Kuna mgonjwa anaumwa. Sasa tulikuwa na shida na psychologist (msaikolojia tiba)
Mkuu,
Unaweza kuweka japo A,B,C utapata msaada Zaid..

Humu Kuna watu wengi Sanaa wa maana ambao WANA weza kukupa msaada mkubwa Mimi naweza kua mmoja wao pia...

Ikikupendeza..

Ila Pm yangu Ina matatizo hazifunguki mwezi Sasa..
 
Mkuu,
Unaweza kuweka japo A,B,C utapata msaada Zaid..

Humu Kuna watu wengi Sanaa wa maana ambao WANA weza kukupa msaada mkubwa Mimi naweza kua mmoja wao pia...

Ikikupendeza..

Ila Pm yangu Ina matatizo hazifunguki mwezi Sasa..
Sijabisha kama kuna watu wa muhimu ila ndoa hivyo kuwapata sasa. Sasa mbona pm yako mbona hifunguki?? Watu wote humu ni wa maana tu ila tunatofautiana.
 
Sijabisha kama kuna watu wa muhimu ila ndoa hivyo kuwapata sasa. Sasa mbona pm yako mbona hifunguki?? Watu wote humu ni wa maana tu ila tunatofautiana.
Sijui kwanini nimeshawaeleza lakini hawajatatua untill now..
 
Aende Mloganzila. Kitengo cha Ushauri na Magonjwa ya akili (Physiatry and Mental Health).

Ninayemfahamu ni Dr Kitomary (sina hakika kama bado yupo ama la). Nitawasiliana naye kisha nitamrejea,ila ni department kubwa mno.

Wapo wataalam wa kutosha, watamsaidia.

Ili iwe rahisi, aanzie Hospital ya Rufaa Kitete. Kisha apate rufaa kwenda Mloganzila. Atahudumiwa kwa ukaribu zaidi.
Jitahidi basi iwasiliane naye unipe mrejesho. Mi nahitaji namba tu ya daktari yeyote kwenye hiyo department.ilimradi awe msaikolojia tu.
 
Mimi nina shida jamani naomba kama kuna mtu anajua au anamfahamu psychologist (Msaikolojia tiba) yeyote toka Muhimbili hospital akisaidiwa namba ake mimi niko huku tabora.

Kuna mgonjwa anaumwa. Sasa tulikuwa na shida na psychologist (msaikolojia tiba)
Wasaikologia sio lazima watoke hospitali tu. Wanaweza pia kupatikana kwenye taasisi za dini, taasisi za elimu, wanasheria, nk , kulingana na shida ya mgonjwa
 
Wasaikologia sio lazima watoke hospitali tu. Wanaweza pia kupatikana kwenye taasisi za dini, taasisi za elimu, wanasheria, nk , kulingana na shida ya mgonjwa
Nimekuelewa ila shida hii inahitaji msaikolojia kutoka huko.
 
Ningepata private au pm zao niwaeleze huko boss. Pili au nipate namba ya mmoja wapo. Shida nyingine siunjua tena???
Mkuu, PM yangu ipo wazi. Just hit.

Lakini, hakuna anayekujua. Isitishe hii ni shida. Mimi naweza kuwa na wazo hili, mwingine akawa na mawazo mbadala.

Tukaunganisha mawazo yetu na kuja na mawazo bora zaidi. Hivyo, ingependeza uweke jukwaani.

Lakini pia, changamoto yako huenda ikamsaidia mwingine siku zijazo.
 
Mimi nina shida jamani naomba kama kuna mtu anajua au anamfahamu psychologist (Msaikolojia tiba) yeyote toka Muhimbili hospital akisaidiwa namba ake mimi niko huku tabora.

Kuna mgonjwa anaumwa. Sasa tulikuwa na shida na psychologist (msaikolojia tiba)
Psychiatrist na Psychologist mbona wamejaa wengi hapa hospital ya Mirembe mkoa wa DODOMA, Ikiwa muhusika yupo Tabora ni karibu zaidi.
 
Back
Top Bottom