JAMII BORA
Member
- Apr 18, 2017
- 78
- 58
Habari wakuu.
Nimeanzisha biashara ya kuuza sabuni na sukari kwa kusambaza majumbani kwa zaidi ya nusu mwaka.Sasa kwa naona mahitaji yameongezeka mno, hivyo natafuta supplier (Dealer) mwenye uwezo wa kuniuzia Sabuni za kipande na sukari kiasi cha box kumi au zaidi kwa sabuni na katoni kumi au zaidi kwa sukari. Mfumo wa malipo tutazungumza cash iwe kiasi gani na mkopo kiasi gani. Nipo Mbezi Mwisho Stand.
Naomba msaada wenu wadau
Piga 0713-039875
Nimeanzisha biashara ya kuuza sabuni na sukari kwa kusambaza majumbani kwa zaidi ya nusu mwaka.Sasa kwa naona mahitaji yameongezeka mno, hivyo natafuta supplier (Dealer) mwenye uwezo wa kuniuzia Sabuni za kipande na sukari kiasi cha box kumi au zaidi kwa sabuni na katoni kumi au zaidi kwa sukari. Mfumo wa malipo tutazungumza cash iwe kiasi gani na mkopo kiasi gani. Nipo Mbezi Mwisho Stand.
Naomba msaada wenu wadau
Piga 0713-039875