Habari zenu wanajamii.
Nahitaji supplier atakaeweza kuniuzia samaki aina ya Sato kwa bei ya atleast tsh5000 - 5,500 per kilogram. Nahitaji kuanzia 300kg kwa siku. Pia naomba msaada kwa yoyote anaefahamu wasafirishaji wa samaki kwa njia ya barabara kutoka Mwanza kuja Dar.
Sababu nina uwezo wa kusafirisha kwa Precision lakini gharama zipo juu kidogo na hivyo samaki wangu nitalazimika kuwauza bei ya juu, soko langu litakuwa limited.Kuna jamaa nilipewa namba yake nikaambiwa yeye anatoa sato Mwanza mpaka Dar-es-Salaam na anawauza kwa tsh 6,500. nikipata mtu kama huyo nitashukuru sana.
Kwa yoyote mwenye information itakayosaidia nitashukuru sana akiwasiliana nami kupitia 0787220742. i will be very grateful!
Nahitaji kuanza hiii biashara as soon as yesterday.
Please reach me through 0787220742. Thanks in advance.
Nahitaji supplier atakaeweza kuniuzia samaki aina ya Sato kwa bei ya atleast tsh5000 - 5,500 per kilogram. Nahitaji kuanzia 300kg kwa siku. Pia naomba msaada kwa yoyote anaefahamu wasafirishaji wa samaki kwa njia ya barabara kutoka Mwanza kuja Dar.
Sababu nina uwezo wa kusafirisha kwa Precision lakini gharama zipo juu kidogo na hivyo samaki wangu nitalazimika kuwauza bei ya juu, soko langu litakuwa limited.Kuna jamaa nilipewa namba yake nikaambiwa yeye anatoa sato Mwanza mpaka Dar-es-Salaam na anawauza kwa tsh 6,500. nikipata mtu kama huyo nitashukuru sana.
Kwa yoyote mwenye information itakayosaidia nitashukuru sana akiwasiliana nami kupitia 0787220742. i will be very grateful!
Nahitaji kuanza hiii biashara as soon as yesterday.
Please reach me through 0787220742. Thanks in advance.