Polisi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,082
- 642
Wakuu nina issue iko mahakamani, siyo ya madai. Natafuta mwanajf ambaye yupo tayari kunishauri kupitia pm au wazi (maana siyo siri). Nipo tayari kumlipa gharama za ushauri sh.20,000 kwa njia atakayotaka. Nitaangalia historia yake ya uchangiaji humu jamvini kuhusu mambo ya sheria na hekima kabla sijamkubali.
Aliye tayari aweke utayari wake hapa au anipm
Karibuni
Aliye tayari aweke utayari wake hapa au anipm
Karibuni