Hapo ndo kwa discuss. Kama tukiweza kuwa na yale mahitaji ya lazma tutaweza kuamua kuanza huku tukiongeza mtaji kidogo kidogo kulingana na namna tutakavyo panga maana kuoanga ni kuchaguaHabari, ili mtu awe mfanyabiashara mwenzako anatakiwa kuwa na mtaji wa shillingi ngapi?
Weka figure bwana wewe...maneno matupu kwa wawekezaji unaonyesha unabahatishaHapo ndo kwa discuss. Kama tukiweza kuwa na yale mahitaji ya lazma tutaweza kuamua kuanza huku tukiongeza mtaji kidogo kidogo kulingana na namna tutakavyo panga maana kuoanga ni kuchagua
Sawa we njoo tu we mpenda vitongaVipi kama Partner ni Mwalimu lakini hana mtaji anataka tu afundishe?.
Kitonga vipi ili hali Mimi hapo nachangia taaluma yangu?.Sawa we njoo tu we mpenda vitonga
Tafuta na wewe helaKitonga vipi ili hali Mimi hapo nachangia taaluma yangu?.